Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Unaweza kumpenda mtu ila akakufanya umuache kwa kushindwa kumvumilia kwa Jambo moja au lingine
Umuache huku unampenda?!
Binadamu hatujakamilika, kila mtu ana mapungufu yake! Kinachofanya mke/mume asiongee na mwenzie na kurekebisha mapungufu ni nini eti!
 
Simu ni tatizo kwa kuwa watu hawaelewi kanuni za matumizi ya simu.

Kuna simu personal, ya kazini na ya biashara.

Sasa wewe wachagua tu, ipi iwe opened kwa mkeo na bila shaka itakuwa hiyo ya personal.

Nafikiri ntaeleweka hapa.

🙂🙂
Sijaelewa hapo, tuwe na simu zaidi ya moja?!
 
Umuache huku unampenda?!
Binadamu hatujakamilika, kila mtu ana mapungufu yake! Kinachofanya mke/mume asiongee na mwenzie na kurekebisha mapungufu ni nini eti!
Unaamini upendo huwa unaisha?
 
Simu ni tatizo kwa kuwa watu hawaelewi kanuni za matumizi ya simu.

Kuna simu personal, ya kazini na ya biashara.

Sasa wewe wachagua tu, ipi iwe opened kwa mkeo na bila shaka itakuwa hiyo ya personal.

Nafikiri ntaeleweka hapa.

🙂🙂
Me nauliza hivii kadi za benki inapaswa mpeane au kila mtu apambane na yake lkn atoe matumizi?
 
U binafsi huvunja sana ndoa. Ukisha oa au kuolewa ni miili miwili umekuwa mwili mmoja. Unapofanya maamuzi yeyote ni lazima umshirikishe mwenzako.

Kuna vitu ibabidi u sacrifice, mfano dream ya kujiendeleza kimasomo kama inaingiliana na ratiba ya mume mke na watoto.
Word!!!
 
Back
Top Bottom