Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Me nauliza hivii kadi za benki inapaswa mpeane au kila mtu apambane na yake lkn atoe matumizi?

Mkiwa na joint account kadi zinakuwa mbili lakini mmoja akitaka kutoa kiasi fulani mlichokubaliana hiyo haina tatizo.

Kama ni kiasi kikubwa lazima bank watataka idhini ya mwenzio.

Na haiwezekani mama wataka kutoa kiasi kikubwa bila kuuliza kwanza kwa mzee.

Kwasababu joint account huwa wanandoa wengi huingiza mishahara yao humo.

Ila kama umemfungulia mradi mama basi pesa yake anaweka kwenye kaunti yake na wewe mume hivyohivyo kama una kamradi kama vile ka nyama choma sehemu basi unakuwa waendeleza akaunti yako.
 
Sijaelewa hapo, tuwe na simu zaidi ya moja?!

Ndio, kwa mfano watu kama mimi nnazo simu mbili yaani ya kwangu binafsi na ile ya kazini kwa ajili ya business.

Ila nikirudi nyumbani zote nazisalimisha kwenye bed table ambapo mama anaweza kuziona na zote hazina password.

Kwani wewe mkuu hujawahi kuwa na laini tatu za simu kwa pamoja?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hii ipo spiritual zaidi. Hebu njoo kwenye real world. Maana kwenye Spirit tunaweza fanya kila lililo gumu.
Hey com oooooooonn Haz...see; tatizo mentality zetu tulivyo ziumba watu wengi mnadhani PESA ndio kila kitu kwenye mahusiano kitu ambacho si kwelii...wanaume mna hustle kupata mihela mkidhani mtakuwa na amani ya kweli...waapii😂mmebaki kufa na vihoro na kuwaachia wengine kutumbua hustles zenu...
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti vihoro
Hey com oooooooonn Haz...see; tatizo mentality zetu tulivyo ziumba watu wengi mnadhani PESA ndio kila kitu kwenye mahusiano kitu ambacho si kwelii...wanaume mna hustle kupata mihela mkidhani mtakuwa na amani ya kweli...waapii[emoji23]mmebaki kufa na vihoro na kuwaachia wengine kutumbua hustles zenu...
 
Muwe na pesa matatizo, msiwe na pesa matatizo pia!

Ukiwa na mihela tatizo ni kwamba nmwanaume utakuwa anajigegedea warembo which to me is not a problem....hilo ni tatizo kwa mke of which any time anaweza kuwa replaced. ...principle yangu ni moja. Mama mzazi peke yake ndio anapendwa hawa wanawake wee gegeda na ajue kabisa kuwa any moment anakuwa replaced.
 
Mimi naona ni kwasababu ya kutokua na hofu ya Mungu pia. Mtu mwenye hofu ya Mungu na aliyelelewa vizuri anakua na
Uvumilivu
Huruma
Kusamehe
Upendo
Ukishakua na hivi vitu automatically utaweza kudumu katika ndoa hata kama PESA imeyumba katika familia.
Hofu ya Mungu itakufanya umvumilie mwenzio kukiwa na matatizo ya kiafya au mwenzio akishindwa kuperform no 2.
Hofu ya Mungu itakupa hekima ya kudeal na in-laws.
Ndio maana biblia imesema mlee mtoto katika njia ipasayo nae hataiacha hata atakapokua mzee (nimesahau ipo wapi ila ni kitabu cha Mithali).
Mkikutana wote wenye hofu ya Mungu kwelikweli changamoto za hizo 1,2 na 3 itakua rahisi kuvumilia.

Oh ohhh wewe usichanganye mada hapa...hofu ya mungu doesnt pay bills at all. Ni kweli kuwa kuwa na hafu ya mungu kunaweza kukusaidi kupambana na changamoto hizo za kwenye ndoa but dnt underestimate the power that money has in ensuring kuwa marriage haipati misukosuko.
 
Sasa hata mkiwa na upendo wa kweli mtakula mawe? Uchumi ukiyumba unaleta migogoro kwasababu ya stress,hapo ndio uhusiano unaanza kubomoka.
Ni kweli kabisa. Kuna kitabu cha THE COMMON MAN nadhani by David Maillu, huyu common man alikuwa na mke mzuri lakini nyumba yao ilifunikwa na umaskini. Akajitokeza tajiri mmoja kujifanya anawasaidia kumbe lengo ni yule mke, baadaye alifanikiwa kumpata. Jamaa mwenye mke japo alijua lakini hakutia neno kwa sababu ile "misaada" ya kutoka kwa tajiri walikuwa wanatumia wote pale nyumbani. Kwa hali kama hii lazima nyumba itayumba!
 
Ukiwa na mihela tatizo ni kwamba nmwanaume utakuwa anajigegedea warembo which to me is not a problem....hilo ni tatizo kwa mke of which any time anaweza kuwa replaced. ...principle yangu ni moja. Mama mzazi peke yake ndio anapendwa hawa wanawake wee gegeda na ajue kabisa kuwa any moment anakuwa replaced.
Aisee
 
Inasemekanana sababu kuu zinazovunja ndoa ni
1.pesa
2.tendo la ndoa
3.in-laws(wakwe,wifi,mashemeji etc)
Kwamba hivi vitu vitatu vikiyumba ndoa chali. Ni kweli?
No. 3 wengi tunashindwa kutofautisha nafasi ya mke/mume na ndugu. Ni tatizo kubwa sana....na huenda ndoa ikayumba au kuvunjika kabisa!!!
 
Ndio, kwa mfano watu kama mimi nnazo simu mbili yaani ya kwangu binafsi na ile ya kazini kwa ajili ya business.

Ila nikirudi nyumbani zote nazisalimisha kwenye bed table ambapo mama anaweza kuziona na zote hazina password.

Kwani wewe mkuu hujawahi kuwa na laini tatu za simu kwa pamoja?
Ooooh
Hapo mekuelewa!
 
Back
Top Bottom