Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Kama huna pesa hamu ya tendo la ndoa inatoka wapi? Imagine unawaza utakula nini au watoto wamerudishwa nyumbani kwasababu ya ada....hio hamu ya tendo la ndoa itatoka wapi?
Nadhani kila mtu ana shida yake
Na wengine wana shida zote
Hivyo tujitathmini
Unaweza kuwa na pesa ya kukidhi mahitaji yenu ila tendo la ndoa ni tabu mf hamna mapenzi,kukosa nguvu za kiume, mke hana hamu nk

Kila mtu ana strong na weak point ktk point 3 ulizotaja
Mind you GOD GIVES NO ONE EVERYTHING
 
Hivi hili tendo la ndoa ni kwamba wanawake hamuwezi kufanya kila siku? Au walau kuvusha siku moja moja yaan mfano umefanya j3 uje ufanye j5.....


Afu au wanaume wengi tuna hili tatizo mfano mie yaani hata kila siku naweza fanya hata niwe nimechoka vipi je au ni tatizo?
Wanawake wanaweza sn tu
Ila asiwe na bughudha rohoni
Ts an emotional thing

Issue ss does that Man put u in a proper state kila siku?..
 
Ukiwa na mihela tatizo ni kwamba nmwanaume utakuwa anajigegedea warembo which to me is not a problem....hilo ni tatizo kwa mke of which any time anaweza kuwa replaced. ...principle yangu ni moja. Mama mzazi peke yake ndio anapendwa hawa wanawake wee gegeda na ajue kabisa kuwa any moment anakuwa replaced.
Kwa mentality hii huwezi oa ukaisho kwa amani hata upate mwanamke mzuri
Uko mguu nje ndani
Mama ana nafasi yake
Mke ana nafasi yake
Km mama muhimu kuliko mke basi muoe yeye

Ni km vile mke niseme baba is everythng to me wanaume wanapita nooo
Mume wangu is too important ana nafasi yke kubwa tu
Japo baba has a special part in my heart
 
Nadhani kila mtu ana shida yake
Na wengine wana shida zote
Hivyo tujitathmini
Unaweza kuwa na pesa ya kukidhi mahitaji yenu ila tendo la ndoa ni tabu mf hamna mapenzi,kukosa nguvu za kiume, mke hana hamu nk

Kila mtu ana strong na weak point ktk point 3 ulizotaja
Mind you GOD GIVES NO ONE EVERYTHING
Pesa inaweza kukufanya ukapoteza nguvu za kiume ila nguvu za kiume haziingizi pesa.
 
Nadhani kila mtu ana shida yake
Na wengine wana shida zote
Hivyo tujitathmini
Unaweza kuwa na pesa ya kukidhi mahitaji yenu ila tendo la ndoa ni tabu mf hamna mapenzi,kukosa nguvu za kiume, mke hana hamu nk

Kila mtu ana strong na weak point ktk point 3 ulizotaja
Mind you GOD GIVES NO ONE EVERYTHING
Pesa inaweza kukufanya ukapoteza nguvu za kiume ila nguvu za kiume haziingizi pesa.
 
Pesa inaweza kukufanya ukapoteza nguvu za kiume ila nguvu za kiume haziingizi pesa.
Nguvu ya kiume haiingizi pesa ndio
Ila ina uwezo wa kumtosheleza mkeo kimwili akatulia ukapata amani ya moyo ukafanya ishu zako vizuri
 
Nguvu ya kiume haiingizi pesa ndio
Ila ina uwezo wa kumtosheleza mkeo kimwili akatulia ukapata amani ya moyo ukafanya ishu zako vizuri
Bila pesa huwa uwezo unapotea...au hujui stress ni sababu moja kuu ya kupungukiwa nguvu za kiume? Ooops sorry kumbe ni lady! Ni hivi mwanaume mtu mzima mwenye majukumu ukiwa na stress hasa za pesa huwezi kuwa na hamu ya kufanya mapenzi.
 
Bila pesa huwa uwezo unapotea...au hujui stress ni sababu moja kuu ya kupungukiwa nguvu za kiume? Ooops sorry kumbe ni lady! Ni hivi mwanaume mtu mzima mwenye majukumu ukiwa na stress hasa za pesa huwezi kuwa na hamu ya kufanya mapenzi.
Unajicontradict

Umesema hapo juu 'Pesa inaweza kukufanya ukapoteza nguvu za kiume ila nguvu za kiume haziingizi pesa'

Uko upande upi?

Je wanaosimamisha wote wana pesa??
Mbona wengi tu mna pesa na havisimami?

Sio general rule
 
Unajicontradict

Umesema hapo juu 'Pesa inaweza kukufanya ukapoteza nguvu za kiume ila nguvu za kiume haziingizi pesa'

Uko upande upi?

Je wanaosimamisha wote wana pesa??
Mbona wengi tu mna pesa na havisimami?

Sio general rule
Soma Kwa makini utaelewa
 
Inasemekanana sababu kuu zinazovunja ndoa ni
1. Pesa
2. Tendo la ndoa
3. In-laws(wakwe, wifi, mashemeji etc)

Kwamba hivi vitu vitatu vikiyumba ndoa chali. Ni kweli?
Hope inategemea coz:

Kama kuna upendo, heshima na uvumilivu.hata hivyo vitu 3 vikiyumba hakutakuwa na side effect coz ni temporary. Why?

1: pesa:unaweza kuwa na pesa ikotee kitu uishiwe ila kama kuna upendo na uvumilivu, with time mambo yanaweza kuwa sawa.

2: tendo la ndoa: mmoja wapi anaweza pata shida, kama kuna upendo na uvumilivu, ni kuhangaika kutatua tatizo.

3:in-laws hii siwezi isemea sana maana wote hawawezi kuwa sawa: hapa ni kuomba wasiwe chanzo cha kuvunja ndoa. Maana wakwe wana nafasi kubwa ktk ndoa.ni watu wa karibu sana na muhimu sana.

Nawaza tu....
 
Hope inategemea coz:

Kama kuna upendo, heshima na uvumilivu.hata hivyo vitu 3 vikiyumba hakutakuwa na side effect coz ni temporary. Why?

1: pesa:unaweza kuwa na pesa ikotee kitu uishiwe ila kama kuna upendo na uvumilivu, with time mambo yanaweza kuwa sawa.

2: tendo la ndoa: mmoja wapi anaweza pata shida, kama kuna upendo na uvumilivu, ni kuhangaika kutatua tatizo.

3:in-laws hii siwezi isemea sana maana wote hawawezi kuwa sawa: hapa ni kuomba wasiwe chanzo cha kuvunja ndoa. Maana wakwe wana nafasi kubwa ktk ndoa.ni watu wa karibu sana na muhimu sana.

Nawaza tu....
Upendo is overrated...!
 
Kwa mentality hii huwezi oa ukaisho kwa amani hata upate mwanamke mzuri
Uko mguu nje ndani
Mama ana nafasi yake
Mke ana nafasi yake
Km mama muhimu kuliko mke basi muoe yeye

Ni km vile mke niseme baba is everythng to me wanaume wanapita nooo
Mume wangu is too important ana nafasi yke kubwa tu
Japo baba has a special part in my heart

Kila mtuu na mentality yake. Kamwe siwe kumpa kipaumbele mwanamke apart from mama. Wengine anytime anakuwa replaced but mama siwezi mreplace.

Nafasi yake mke ni kuhakikisha tunagegedana kwa raha zetu. Becoz trust me ukitaka kujua kuwa hamna upendo kwenye ndoa na ni masuala ya wanawake kuangalia wapi kuna potential...ebu kuwa broke alafu tuone kama upata mwanamke...tena ndio kwanza wanakukwepa kama ukoma. So plain and simple umenikubali becoz mama yangu kaniandaa na mie nimekupenda becoz wazazi wako wamekuanda but true love itaenda kwa mama wewe mke upo hapa tumalozie tuu shida zetu za kimwili.
 
Back
Top Bottom