Mambo haya uswahilini yanakera

Mambo haya uswahilini yanakera

kuna siku niliona mbagala, saa tatu usiku jamaa anakatiza na taulo kiunoni,kifua wazi sijui alikuwa anaenda dukani? mambo ya free style!
 
Katavi bana...umenchekesha sana!!mtwara unaenda lini??
 
Mswaki ni uchafu., mwingine utakuta anapiga mswaki au kaweka mswaki mdomoni huku anapika chai jikoni nk yaäni kichefuchefu tupu.
 
Mswaki ni uchafu., mwingine utakuta anapiga mswaki au kaweka mswaki mdomoni huku anapika chai jikoni nk yaäni kichefuchefu tupu.
Yaani ni kero aisee!!
 
aghhhhr ase hapa kwetu yaani wakiona nimeshusha pazia tuu wanajua baba anapata
chakula yake sasa wanakuja kukaa hapo dirishani wanajichekesha hovyo wanansababisha nashindwa
kujituma na kulialia kumdekea baba lool nawataftia dawa .na ipo siku ntawamwagia maji moto nyambaf
 
af unakuta domo loote limetapakaa
mimate yenye dawa ya meno
na tea ikiiva anakukaribisha hahahaha
 
Ila uswazi bana kuna raha zake we acha tu. Hapa uswazi kwetu kuna shemu ukitaka upga chabo basi kuna guest week end kama leo mhhhh nyomi.
 
aghhhhr ase hapa kwetu yaani wakiona nimeshusha pazia tuu wanajua baba anapata
chakula yake sasa wanakuja kukaa hapo dirishani wanajichekesha hovyo wanansababisha nashindwa
kujituma na kulialia kumdekea baba lool nawataftia dawa .na ipo siku ntawamwagia maji moto nyambaf

Haha haha nimecheka balaa hao ukute ni single maza lol uswazi bwana
 
aghhhhr ase hapa kwetu yaani wakiona nimeshusha pazia tuu wanajua baba anapatachakula yake sasa wanakuja kukaa hapo dirishani wanajichekesha hovyo wanansababisha nashindwa kujituma na kulialia kumdekea baba lool nawataftia dawa .na ipo siku ntawamwagia maji moto nyambaf
Ahahahahaah!! Anza kulialia na kudeka kwa nguvu wataacha wenyewe...
 
Ila uswazi bana kuna raha zake we acha tu. Hapa uswazi kwetu kuna shemu ukitaka upga chabo basi kuna guest week end kama leo mhhhh nyomi.
Ahahahaaah!!!
 
... You havent lived ur life if at one time in ur boring life you have never lived in Uswaz! Sometimes panaudhi lakini unasamehe yote kutokana na the variety of free burudani utakazokuwa unapata at any given time@
 
kama ulikuwepo kutwa nzima wanashinda home na kanga moja yaani
af unakuta nimetoka night shift asa baba na anadai haki yaake wao
wanatukata moto haaaa inakera vbya sana . sometimes naenda
kulala guest kuepusha msongamano

Haha haha nimecheka balaa hao ukute ni single maza lol uswazi bwana
 
Katavi;2175417] Akina dada wengine nao sijui vipi unakuta yupo na kanga moja....kama lilivyo tendo la ndoa.......
Fidel80;2175443]Mi kuna dada huwa ananisumbua sana mlango wa pili utakuta katoka na khanga moja nyepesi inaonyesha kila kitu ndani na asubuhi hiyo unakuta kavaa chupi tu aidha nyeupe su nyekundu au nyeusi si kutiana majaribuni hivi?
Jamani poleni!!! tena sana. I can imagine asubuhi tu unaona Nyekundu au ya bluu na hakuna ajuaye umalalaje.
Ndo maana mimi 'sikulipenda' lile shairi la khanga! mbaya zaidi iwe ya India. Mhh Arrrhg! akina dada/wamama acheni mateso alfajiri.
Yaani unamwambia mtu hata ukinawa huli!!! pole Katavi pole Fidel !!
 
asee sijui kwanini watu wengine wako hivyo!! mh nashkuru mungu muda mwingi m=nakuwa job
otherwise ningejuta kuzaliwa tz haswa uswaz
 
aghhhhr ase hapa kwetu yaani wakiona nimeshusha pazia tuu wanajua baba anapatachakula yake sasa wanakuja kukaa hapo dirishani wanajichekesha hovyo wanansababisha nashindwa kujituma na kulialia kumdekea baba lool nawataftia dawa .na ipo siku ntawamwagia maji moto nyambaf
...hakikisha kuwa unafunga pazia vzuri. C ajabu pia wanakupiga chabo unavyojituma kisailensa! Dawa yao hao ni siku moja kuwatupia kondomu uliyolowanisha lowanisha na maji ya kawaida! Hakai mtu tena chini ya dirisha lako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom