Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
- Thread starter
- #61
Umeona Nguruvi3 namna uswazi hizi khanga zilivyo na majaribu? Hasa sisi mabachela tunapata shida sana nyakati za asubuhi kwenye hizi nyumba za kupanga...Jamani poleni!!! tena sana. I can imagine asubuhi tu unaona Nyekundu au ya bluu na hakuna ajuaye umalalaje.Ndo maana mimi 'sikulipenda' lile shairi la khanga! mbaya zaidi iwe ya India. Mhh Arrrhg! akina dada/wamama acheni mateso alfajiri.Yaani unamwambia mtu hata ukinawa huli!!! pole Katavi pole Fidel !!