Smotor
JF-Expert Member
- Jan 3, 2021
- 2,432
- 2,011
Kuna jamaa aliupasua mwezi vipande vipande ukadondoka nyuma ya mlima hukoKuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
Orodha itaendelea, ongezea na zako
- Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
- Quran ipo moja tuu ππππ(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
- Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani ππππ wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo