Hahahahaha!!!Hao Mamba hawana akili
Hahahahaha!!!Hao Mamba hawana akili
Angekwapua mkono wako usingetetea huu uozo.Yaani sisi Waswahili suluhisho letu la kwanza kwa kila tatizo siku zote ni kuua tu.
Sidhani kama kulikuwa na juhudi zozote za kumkamata na kumrudisha alipotoka, sisi ni kuua tu.
Mwizi tukimkamata na kumdhibiti bado tunaishia kumuuwa, hata kama wangesaidia taarifa muhimu za kuwakamata wenzake.
inanikumbusha mafuriko ya mwaka 98 yalituachia mamba sebuleni...
Tumechoka!wapigwe tuKwa habari niliyopata hivi punde :
Inasemekana Mamba ameuawa pembezoni mwa hoteli ya Tilapia jijini Mwanza leo mchana.
=====
Mamba huyu ameuawa kwa kupigwa risasa na Maliasili baada ya kuibuka katika eneo la kivuko cha kwenda Hifadhi ya Saanane pale Capri point wilayani Nyamagana mkoani Mwanza na hivyo kuleta taharuki kwa wakazi wa eneo hilo.
unamjua mamba au unadhani huyo ni kenge angeua mtu ungesema ni uzembe tenaYaani sisi Waswahili suluhisho letu la kwanza kwa kila tatizo siku zote ni kuua tu.
Sidhani kama kulikuwa na juhudi zozote za kumkamata na kumrudisha alipotoka, sisi ni kuua tu.
Mwizi tukimkamata na kumdhibiti bado tunaishia kumuuwa, hata kama wangesaidia taarifa muhimu za kuwakamata wenzake.
mamba wa kizungu hawana njaa hawa wa huku vyuma vyao vimekaza wana viburi kama watu waoMbona USA wanaingia mpaka swimming pool lakini wanawakamata na kuwapeleka sehemu za mbali?
Kwanini wamuuwe?
Hebu maliasili watoe mafunzo kwa wananchi kwamba pindi wanapoona mnyama wapigiwe na kuja kumkamata
Kumshika Mamba ni rahisi sana
Inasikitisha kwa kweli
nilijua litakua jibu lakoUvamizi !
Hahaha.. Aisee.. Mulimvuta na trekta... Hatari sana!nakumbuka kulikuwa na el nino 98, kijiji chetu kimezungukwa na mito na mabwawa na sisi tulikuwa tumejenga kiasi cha mita mia tano kutoka mtoni, tulikuwa na eneo kubwa ambalo mzee alikuwa amejenga kwa mtindo wa motel maana ni pembezoni mwa barabara kubwa, sasa mafuriko yalipo ingia ilikuwa ni alfajir flani, tukaja okolewa na mitumbwi, nyumba zote zilimezwa na maji, na wakati maji yalipoondoka yote na kubaki madibwi, ndipo nasi tuliporudi, sasa wakati tukisafisha majengo ndipo katika jengo moja ambalo baadae lilikuja kuwa kama ukumbi, tulimkuta mamba mkubwa mno kapozi hana wasi, nakumbuka tulimtoa na trekta...kuna watu wakaenda kumla
watanzania tukiangalia wajuaji tukiangalia movie za wazungu tunaamin mamba ni mpole kama mjusi umshike mamba amekua demu wako huyoWengi hafahamu balaa la huyu kiumbe, hapa si wanaona picha tu.
na wenyewe wanapambana na hali zao samaki zimeisha wanatafuta wanaokula samaki
hawaguswi waleKwahiyo mkuu wale ndugu zetu kabila fulani wasiokula samaki wakikutana naye watasalimika
Katwangwa risasi...praaa pa pa paaa