Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,462
- 34,706
Huyo mamba hata hajavamia hotel,aliuliwa saanane national park ambacho ni kisiwa mita kama 500 kutokea hapo tilapia,baada ya kumuua ndo walimvuta na boti mpaka nchi kavu eneo la kupandia boti kwenda hapo kisiwani(imepakana na tilapia hotel)
Siku kama tano nyuma alimuuwa mvuvi(wale wanaouvua na vimtumbwi vya mabua) maeneo hayo ya tilapia hotel
Jamaa walizika kichwa tu ndo walibahatika kukipata
Alikua na tabia ya kula watu na mbwa kwa mda mrefu sasa!nadhani jamaa wa maliasili uvumilivu ulifika mwisho baada ya tukio la majuzi
Huyo mamba siyo katia hasara sana...katafuna watu wa kutosha tu...anapiga shoo si ya nchi hii