Mamba mkubwa auawa hotelini jijini Mwanza

Huyo mamba hata hajavamia hotel,aliuliwa saanane national park ambacho ni kisiwa mita kama 500 kutokea hapo tilapia,baada ya kumuua ndo walimvuta na boti mpaka nchi kavu eneo la kupandia boti kwenda hapo kisiwani(imepakana na tilapia hotel)

Siku kama tano nyuma alimuuwa mvuvi(wale wanaouvua na vimtumbwi vya mabua) maeneo hayo ya tilapia hotel
Jamaa walizika kichwa tu ndo walibahatika kukipata

Alikua na tabia ya kula watu na mbwa kwa mda mrefu sasa!nadhani jamaa wa maliasili uvumilivu ulifika mwisho baada ya tukio la majuzi

Huyo mamba siyo katia hasara sana...katafuna watu wa kutosha tu...anapiga shoo si ya nchi hii
 
wabongo kwenu hakuna jema, huyu mamba angechelewesha akadhuru watu mngesema kwa nini hawakumuua mapema, sasa wamemuua mnalaumu kwa nini wamemuua badala ya kumkamata
 
Mbona USA wanaingia mpaka swimming pool lakini wanawakamata na kuwapeleka sehemu za mbali?
Kwanini wamuuwe?
Hebu maliasili watoe mafunzo kwa wananchi kwamba pindi wanapoona mnyama wapigiwe na kuja kumkamata
Kumshika Mamba ni rahisi sana
Inasikitisha kwa kweli
Kama humjui mamba kaa kimya...... ikifka stage mamba anajitokeza hadharan huyo n kuuawa tu.
 
kwanini wmemuua? wameshindwa nini kumdhibiti wamrudishe kwenye habitat yake ya asili. What a waste!
Ndugu yangu huwa nawashangaa hao maliasili,kwan wanyama wetu huwa wanauawa pasipo sababu tu, mara ngapi tumesikia mamba,simba,fisi,tembo na koboko kule tabora na nk kuuwawa badala ya kudhibitiwa na kurudishwa ktk maeneo yao ya asili wao uwauwa tu. Ifike mahali iwe mwisho kuuwawa kwa wanyama wetu,kwani kuna siku tutawaangamiza wenyewe.

Pia itolewe elimu ya kuwajali wanyama wetu.
Kuna kipindi kule Rorya waliuwawa tembo watatu pasipo sababu,baada ya hao wanyama kuoneka maeneo TOTO kule Rorya hao jamaa wa game walitoa amri wauwawe,kweli waliuwawa wao game wakachukua tu zile pembe tu,lakin ukiangalia pale hao game walikuwa na uwezo wa kuwapiga risasi za usingizi kisha kuwabeba na kuwarudisha kule serengeti.

Ipo siku wanyama wetu waangamia na moja wapo wa kuwaangamiza ni hao idara ya wanyama haswa game.
 
Ndugu yangu huwa nawashangaa hao maliasili,kwan wanyama wetu huwa wanauawa pasipo sababu tu, mara ngapi tumesikia mamba,simba,fisi,tembo na koboko kule tabora na nk kuuwawa badala ya kudhibitiwa na kurudishwa ktk maeneo yao ya asili wao uwauwa tu. Ifike mahali iwe mwisho kuuwawa kwa wanyama wetu,kwani kuna siku tutawaangamiza wenyewe.

Pia itolewe elimu ya kuwajali wanyama wetu.
Kuna kipindi kule Rorya waliuwawa tembo watatu pasipo sababu,baada ya hao wanyama kuoneka maeneo TOTO kule Rorya hao jamaa wa game walitoa amri wauwawe,kweli waliuwawa wao game wakachukua tu zile pembe tu,lakin ukiangalia pale hao game walikuwa na uwezo wa kuwapiga risasi za usingizi kisha kuwabeba na kuwarudisha kule serengeti.

Ipo siku wanyama wetu waangamia na moja wapo wa kuwaangamiza ni hao idara ya wanyama haswa game.
Msilalamike bila kutumia bongo zenu.

Hivi kweli mamba anakaribia kuutoa uhai wa mtu(watu) utamwacha tu? Lazima ale shaba asee hana thamani yoyote ukilinganisha na uhai wa binadamu.

Ikiwa ameshaingia kwenye makazi ya watu na anahatarisha uhai wa raia lazima tu mtusue tu hamna namna.

Kama situation sio ya kuhatarisha sana hapo sawa nashauri hao maliasili watumie mbinu zao za kijasusi kuzibithi huyo mdudu mbaya kuliko wote
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom