Mamba mkubwa auawa hotelini jijini Mwanza

Afrikaaaaa shidddddaaaaaa sanaaa yani dawa awe na uwezo wa kuuwa kijiji kizima

Mi nlitegemea dawa imsaidie kutodhurika yeye au kupata mali nyingi,sie tunawaza UWEZO WA KUUA TU.

Kweli miafrika ndo tulivyo....
Hajamaanisha dawa kama ulivodhani, hiyo ni sumu mbaya sana, ujazo wa kifuniko cha chupa ya maji tu inatosha kuua zaidi ya watu 300, ndo maana wakati wa zoezi la kuteketeza mzoga wa mamba huwa kuna ulinzi mkali sana mkuu
 
Alimla mama ako? ni aibu kuna mipumbavu inajisifu ni mitaalam ya maliasili na inatoka povu iongezwe mishahara wakati hata haitumii akili zao kusuluhisha mambo. Wangemkamata na kumrudisha huko mtoni au saanane

Hata kama anakula watu mamba hana akili kama wewe kisheti akiwa na njaa huwezi katiza mbele yake akakuacha ,Mungu kawaumba kutula sisi na wanyama wengine. Hiyo ndo nature yao .

Mwenye ushahidi wa mamba wasiokula watu wakikatiza mbele yake wanisaidie

Inabidi tu ucheke kwakweli, Umenifurahisha hapo
 
Huyo mamba hata hajavamia hotel,aliuliwa saanane national park ambacho ni kisiwa mita kama 500 kutokea hapo tilapia,baada ya kumuua ndo walimvuta na boti mpaka nchi kavu eneo la kupandia boti kwenda hapo kisiwani(imepakana na tilapia hotel)

Siku kama tano nyuma alimuuwa mvuvi(wale wanaouvua na vimtumbwi vya mabua) maeneo hayo ya tilapia hotel
Jamaa walizika kichwa tu ndo walibahatika kukipata

Alikua na tabia ya kula watu na mbwa kwa mda mrefu sasa!nadhani jamaa wa maliasili uvumilivu ulifika mwisho baada ya tukio la majuzi
 
Wajinga kabisa hao maliasili,nakila siku wanafaulu vyuoni wakijifunza jinzi ya kukabiliana na haya majanga,sasa kama lilikuwa linakaribia kutaga jee?puuzi kabisa hao walio amuru risasi zipigwe mamba afe
 
Kweli hakuna kitu nachukia kama mtu kumtukana mwingine haswa amtukanapo mzazi wake. Ni mbaya sana
Tatizo humu hatujuani laiti ingekuwa tunakutana kwenye jumba moja kubwa wote
Simu zetu zingeibiwa sana maana kuna vibaka humu kuna machokora na wengine nunda mradi tuko changanyikeni
Sasa wengine hata humjui mtu halafu anatamani aifuate waves mpaka ulipo
 
Back
Top Bottom