Sasa wafanyaje?Kweli hakuna kitu nachukia kama mtu kumtukana mwingine haswa amtukanapo mzazi wake. Ni mbaya sana
Hata mimi nilitaka kuuliza hilo hilo wangepiga risasi ya usingizi basikwanini wmemuua? wameshindwa nini kumdhibiti wamrudishe kwenye habitat yake ya asili. What a waste!
Kuna suala la ikolojia !Madude ya kutisha kama mamba ya nini kwanza, wayamalize yote!
Hiyo Akiri ni silaha gani inayo ua hivyo !Akiri za Ccm ni kuua tu
Mkuu hiyo elnino ni hatari sanainanikumbusha mafuriko ya mwaka 98 yalituachia mamba sebuleni...
Ulitaka wawe na akili ili wakagungue kiwanda ganiHao Mamba hawana akili
Uko sahihi mkuu.Hajamaanisha dawa kama ulivodhani, hiyo ni sumu mbaya sana, ujazo wa kifuniko cha chupa ya maji tu inatosha kuua zaidi ya watu 300, ndo maana wakati wa zoezi la kuteketeza mzoga wa mamba huwa kuna ulinzi mkali sana mkuu
Unaongea simple kwasababu hujaona timbwili la hawa wadudu, hapo angeachwa akudhuru raia mngekuja kulialia hapaMbona USA wanaingia mpaka swimming pool lakini wanawakamata na kuwapeleka sehemu za mbali?
Kwanini wamuuwe?
Hebu maliasili watoe mafunzo kwa wananchi kwamba pindi wanapoona mnyama wapigiwe na kuja kumkamata
Kumshika Mamba ni rahisi sana
Inasikitisha kwa kweli
Nimecheka sana hapo uliposema, " ...atafia juu ya keyboard kwa hasiraa"What a shame man!! Mijitusi mikubwa hivyo ya nini?? Kwani alikutukania mzazi hata wewe umtukane kihivyo?? Jamani, punguzeni stress, ka sivyo kuna siku mtu atafia juu ya key board kwa hasira
Mkuu vijana wa kizazi cha lawama washaanza kulaum tayariKuna wataopinga hati kumuua mamba ni kosa.!!
Hii iko hivi wewe binadamu ukienda hifadhi kisha umuue mnyama wewe ndio unahatia yaani hata wale askari wa forest wakikuona huna uhai(unapigwa na kizito)
Mnyama nae akija huku makazi ya watu nayeye kama sio kurudishwa alikotoka kistaharabu atapigwa na kizito vivo hivo.
Afu huyo mamba pengine IN MYSTERIOUS WAY angeua binadamu kuna watu wangehoji "askari wa forest kazi yao ni nini mpaka wanyama wanatoroka na kuja kudhulu watu wao hawana habari?"