Mama Zitto alazwa ICU-Muhimbili

Mama Zitto alazwa ICU-Muhimbili

Pole sana Zitto,namuomba Mwenyezi Mungu amjalie mama yetu apone.
 
...wampeleke kwa appollo au ujerumani,dogo aache ubahili ...
 
Chadema ni watu wabaya sana...mungu kipige kofi chama hiki
 
Hata maadui zetu tu sifutiiii ama kuwaua au kuwaombea wafe. Ni misingi tu ya utu.
Mwenye utu ana namna yake ya kutafakari na kuongea.
Hafurahii matatizo ya mtu wa jamii yake.

Kama tunavyolaani ya mwaandishi Mwangosi, Dr Ulimboka na Absalom Kibanda hili nalo ni la kulaaniwa.
 
sasa mbona sinario haionyeshi kupigwa huyu mama wakati kichwq cha habari kinasema anapumulia mashine!!?????

ACHENI UHUNI WENU HAMTAIWEZA CHADEMA KWA HUJUMA ZABCCM NA ZA KUTAFUTA HURUMA.

SHAME ON U ALL POSTERS OF NONSENSE
 
Duh,wameamua kuanzia na mama kwanza dah?!!.
Kumbe dr ni hatari sana.
Acheni ujinga, huyu mama alikuwa Appolo India kwa kipindi chote cha Bunge maalum la katiba akipatiwa matibabu, anasumbuliwa na cervical cancer...Kansa ya kizazi....ni kumwomba Mungu ampe ahueni sio kuandika ujinga ujinga .......
 
Pole sana Mama Zitto, tunakuombea and the Almighty Yahweh will rescue your health. "Amen"

Get well soonly our Mama.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom