King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,585
Mama yake Zitto, bi Shida Salum ambaye ni kada wa CHADEMA, amelazwa chumba cha uangalizi maalum(ICU) kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi.
Source: Mwananchi leo
Mama yake Zitto, bi Shida Salum ambaye ni kada wa CHADEMA, amelazwa chumba cha uangalizi maalum(ICU) kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi.
Source: Mwananchi leo
Huyu dogo kwa kupenda sifa na umaarufu anaweza hata kumtoa ndagu mama yake! Ana tamaa sana dogo!
Mkuu, hivi unajua chanzo cha ugonjwa wake ni nini?
una akili ndogo sana zaidi punda, acha wivu wa kipumbavu wewe, utakufa maskini kama utaendelea kutanguliza ushirikina katika kila unachofikiria. get well soon mama zzk
una akili ndogo sana zaidi punda, acha wivu wa kipumbavu wewe, utakufa maskini kama utaendelea kutanguliza ushirikina katika kila unachofikiria. get well soon mama zzk
mbona mnachanganya sana; mtanzania inasema AMI msasani; je nikitaka kumjulia hali niende upanga au msasani
huu ndio ushabiki maandazi mtu hakujui inataka uende kujipeleka.
1. huyu mama hana shida ya matibabu na mwanaye ni billionea na chama chake kipo pia.
usamalia ni afadhali ungeuonesha kwenye hospital amana, temeke, mwananyamala na muhimbili ambako kuna watanzania tangu wamelazwa miezi kadhaa hawajahi kupata visitors hata wa kuwapa juice.
Huyu dogo kwa kupenda sifa na umaarufu anaweza hata kumtoa ndagu mama yake! Ana tamaa sana dogo!