TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,104
Mkuu, hivi unajua chanzo cha ugonjwa wake ni nini?
Umeanza umbeya wako
Mkuu, hivi unajua chanzo cha ugonjwa wake ni nini?
Ikitokea huyu mama anafariki, laana ya Mungu itawaangukia viongozi wa chama chake
Mkuu, hivi unajua chanzo cha ugonjwa wake ni nini?
...wampeleke kwa appollo au ujerumani,dogo aache ubahili ...
Hata maadui zetu tu sifutiiii ama kuwaua au kuwaombea wafe. Ni misingi tu ya utu.
Mwenye utu ana namna yake ya kutafakari na kuongea.
Hafurahii matatizo ya mtu wa jamii yake.
Kama tunavyolaani ya mwaandishi Mwangosi, Dr Ulimboka na Absalom Kibanda hili nalo ni la kulaaniwa.
Anasumbuliwa Cervical cancer, alishapelekwa India kwa matibabu lakini naona bado hajapa afueni. Pole sana Mhe. Zitto & family.
Acheni ujinga, huyu mama alikuwa Appolo India kwa kipindi chote cha Bunge maalum la katiba akipatiwa matibabu, anasumbuliwa na cervical cancer...Kansa ya kizazi....ni kumwomba Mungu ampe ahueni sio kuandika ujinga ujinga .......
Chadema ni watu wabaya sana...mungu kipige kofi chama hiki
sasa mbona sinario haionyeshi kupigwa huyu mama wakati kichwq cha habari kinasema anapumulia mashine!!?????
ACHENI UHUNI WENU HAMTAIWEZA CHADEMA KWA HUJUMA ZABCCM NA ZA KUTAFUTA HURUMA.
SHAME ON U ALL POSTERS OF NONSENSE
duh, mkuu unafanya siasa mpaka kwenye uhai wa watu! Duh kweli mainterahamwe ni mashetani!Chadema ni watu wabaya sana...mungu kipige kofi chama hiki
Mkuu, mgonjwa akiwa kwenye hali hiyo unapaswa kuwa makini sana unapofanya maamuzi.