Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Hadi sasa hakuna aliyehusisha ugonjwa wake na siasa ila wewe ndiye una sensitize watu waanze kujadili, shame on you.Mimi nadhani tunahitaji kuwa wastaarabu......si kila wakati....kila mahali......tunapiga siasa tu.......hii habari inahusu habari za ugonjwa wa binadamu mwenzetu........mama yetu.......Mtanzania mwenzetu.......kwanini tunaanza kujadili siasa zake badala ya kumtakia heri?.......mtafanya hata sisi wapenda mageuzi tuchukie siasa hizi uchwara......tuwe na staha na heshima....siasa ni siasa......ubinadamu ni ubinadamu....
Pole sana Mama Zitto...