Pole sana Mama Zitto,Mwenyezi Mungu akujalie nafuu. Kwa Mungu hakuna lisilowezekana
he! na ww unampa pole huyu mama wkt nyie ndo wachawi wenyewe,unafiki umekujaa
phuuuuu
Comment yangu mmeifuta eeh Mods?Where is my comment? Damn it!!!!
Yaani hapa ni kudra za Mwenyeenzi Mungu!ulaya huwa wanawaambia kabisa umebakiza siku ngapi?cervical na breast cancer yameua wanawake wengi sana,Mungu amrudishie afya yake Mama yetumpendwa Mama Zitto
Ameanza lini uchawi kijana wa watu? Ninachokijua mimi ni sumu, hiyo ya kuloga sijawahi isikia kwa kweli.