Washa mtoto nafrahi
Member
- May 22, 2014
- 26
- 5
mwenyezi mungu amponye mama yetu,
Inshaalah
mwenyezi mungu amponye mama yetu,
Mrema kweli kituko!!!
Hongera tofautizetu za siasa zisitufanye kuwekeana uhasama.
Yaani hapa ni kudra za Mwenyeenzi Mungu!ulaya huwa wanawaambia kabisa umebakiza siku ngapi?cervical na breast cancer yameua wanawake wengi sana,Mungu amrudishie afya yake Mama yetumpendwa Mama ZittoHuyu mama alilazwa India wakashindwa ndo ameletwa hapa!!
Mama yake Zitto, bi Shida Salum ambaye ni kada wa CHADEMA, amelazwa chumba cha uangalizi maalum(ICU) kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya shingo ya uzazi.
Source: Mwananchi leo
Mimi nadhani tunahitaji kuwa wastaarabu......si kila wakati....kila mahali......tunapiga siasa tu.......hii habari inahusu habari za ugonjwa wa binadamu mwenzetu........mama yetu.......Mtanzania mwenzetu.......kwanini tunaanza kujadili siasa zake badala ya kumtakia heri?.......mtafanya hata sisi wapenda mageuzi tuchukie siasa hizi uchwara......tuwe na staha na heshima....siasa ni siasa......ubinadamu ni ubinadamu....
Pole sana Mama Zitto...