Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Kwa hiyo alitaka akunjiwe ngumi! :biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:Ni lingumi fulani hivi linanyanyuliwa juu ''Kidumu(sijui galoni) chama cha majuha''
Kwa hiyo alitaka akunjiwe ngumi! :biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:Ni lingumi fulani hivi linanyanyuliwa juu ''Kidumu(sijui galoni) chama cha majuha''
Nilikuwa nasikiliza mapitio ya magazeti leo asubuhi Tumaini FM wakanitabanisha kuwa huyu Dada akitoka Sumbawanga alipita katika moja ya miji huko Mbeya kuelekea Mbeya mjini...akaamua kuwapungia wao wakmuonyesha V sign ya vidole...kufika Mbeya katika mkutano wa UWCCM akadai anashangaa watu lkumuonyesha alama ya CHADEMA wakati yeye alitaka asalimiwe ki-CCM....sasa hii si dharau...ina maana yeye hajui kuwa kuna mfumo wa vyama vingi Tanzania na kikatiba kila mtu ana uhuru wa kupenda chama chake?...Mimi ameniudhi kwa kweli
mke wa rais , salma kikwete, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya baadhi ya wanawake wa vijiji vya wilaya ya mpya ya momba mkoani hapa ukiwemo mji wa tunduma kumuonyesha alama ya vidole viwili inayotumiwa na wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wakati akiwa njiani akitokea kwenye ziara mkoani rukwa.
Akizungumza jana na wanawake wa jiji la mbeya wakati akiwa njiani akitokea sumbawanga, alisema aliona kundi la wanawake ambapo alipojaribu kuwasalimia kwa kuwaonyeshea mkono juu, lakini nao walijibu kwa kumnyooshea alama ya vidole viwili ambayo inatumiwa na chadema katika salamu zao.
"nimeshangaa kuona katika mkoa wa mbeya, sijawahi kuona katika mkoa mwingine… nilivyofika karibu na tunduma wanawake wananionyeshea vidole viwili, wakati maeneo mengine kila ninapopita wananishangilia sana," alisema.
Hata hivyo, baadhi ya wanawake walimfariji na kumhakikishia kuwa watake wasitake lazima ccm itashinda kwa kishindo.
Mama kikwete alisema wanawake waonyeshe msimamo kwa kukipigania chama cha mapinduzi (ccm).
"wanawake wanafahamika ni watu wenye msimamo, huwezi kukuta mwanamke anahama ccm na kuhamia vyama vya upinzani na hata kama wapo ni wachache sana, lakini wanaume wao ni kawaida yao kila kukicha ni kubadilisha vyama,"alisema mama salma kikwete.
pole mama na wewe unatakiwa kusoma alama za nyakati sio unajipitisha tu...zama hizo zimekwishapitwa hahaha
Nilikuwa nasikiliza mapitio ya magazeti leo asubuhi Tumaini FM wakanitabanisha kuwa huyu Dada akitoka Sumbawanga alipita katika moja ya miji huko Mbeya kuelekea Mbeya mjini...akaamua kuwapungia wao wakmuonyesha V sign ya vidole...kufika Mbeya katika mkutano wa UWCCM akadai anashangaa watu lkumuonyesha alama ya CHADEMA wakati yeye alitaka asalimiwe ki-CCM....sasa hii si dharau...ina maana yeye hajui kuwa kuna mfumo wa vyama vingi Tanzania na kikatiba kila mtu ana uhuru wa kupenda chama chake?...Mimi ameniudhi kwa kweli
Mke wa Rais , Salma Kikwete, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya baadhi ya wanawake wa vijiji vya wilaya ya mpya ya Momba mkoani hapa ukiwemo Mji wa Tunduma kumuonyesha alama ya vidole viwili inayotumiwa na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakati akiwa njiani akitokea kwenye ziara mkoani Rukwa.
Akizungumza jana na wanawake wa Jiji la Mbeya wakati akiwa njiani akitokea Sumbawanga, alisema aliona kundi la wanawake ambapo alipojaribu kuwasalimia kwa kuwaonyeshea mkono juu, lakini nao walijibu kwa kumnyooshea alama ya vidole viwili ambayo inatumiwa na Chadema katika salamu zao.
"Nimeshangaa kuona katika mkoa wa Mbeya, sijawahi kuona katika mkoa mwingine… nilivyofika karibu na Tunduma wanawake wananionyeshea vidole viwili, wakati maeneo mengine kila ninapopita wananishangilia sana," alisema.
Hata hivyo, baadhi ya wanawake walimfariji na kumhakikishia kuwa watake wasitake lazima CCM itashinda kwa kishindo.
source:NIPASHE
"Wanawake wanafahamika ni watu wenye msimamo, huwezi kukuta mwanamke anahama CCM na kuhamia vyama vya upinzani na hata kama wapo ni wachache sana, lakini wanaume wao ni kawaida yao kila kukicha ni kubadilisha vyama,"alisema Mama Salma Kikwete.
Hivi huyu mwanamke ndivyo alivyotumwa na mumewe kusema wanaume hawana msimamo?
UWEZO WA KUFIKIRI WA WANANDOA HAWA NAUTILIA MASHAKA.
watake wasitake lazima CCM itashinda kwa kishindo.
source:NIPASHE
Hata hivyo, baadhi ya wanawake walimfariji na kumhakikishia kuwa watake wasitake lazima CCM itashinda kwa kishindo.
source:NIPASHE
Hakutakiwa kushangaa..........hi 'nji' ina vyama vingi................. au hatambui uwepo wa vyama vingine......???Mke wa Rais , Salma Kikwete, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya baadhi ya wanawake wa vijiji vya wilaya ya mpya ya Momba mkoani hapa ukiwemo Mji wa Tunduma kumuonyesha alama ya vidole viwili inayotumiwa na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakati akiwa njiani akitokea kwenye ziara mkoani Rukwa.
Akizungumza jana na wanawake wa Jiji la Mbeya wakati akiwa njiani akitokea Sumbawanga, alisema aliona kundi la wanawake ambapo alipojaribu kuwasalimia kwa kuwaonyeshea mkono juu, lakini nao walijibu kwa kumnyooshea alama ya vidole viwili ambayo inatumiwa na Chadema katika salamu zao.
"Nimeshangaa kuona katika mkoa wa Mbeya, sijawahi kuona katika mkoa mwingine… nilivyofika karibu na Tunduma wanawake wananionyeshea vidole viwili, wakati maeneo mengine kila ninapopita wananishangilia sana," alisema.
Hata hivyo, baadhi ya wanawake walimfariji na kumhakikishia kuwa watake wasitake lazima CCM itashinda kwa kishindo.
source:NIPASHE