Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Kwanza CCM kumruhusu huyu mama kupiga kampeni ilikuwa kosa kubwa, kwanza yeye ni nani na amefanya nini katika taifa hili mpaka asimame mbele za wananchi kuinadi CCM na Mumewe?
kweli mkuu hapo anapigania ajira ya mumewe tu wala hana lolote,