mama salma huyoooo USA

mama salma huyoooo USA

wauzaji wa sura ikulu..na wazururaji...kazi tunayo!!!!....anaenda USA kusema ZE ...ZE...HOME IS PROBLEM ..STREET CHILDRENI...na bakuli lake!![/B][/QUOTE]

Jamani haifai kudharau wenzenu, mbona wengine tunawaona lugha zao matatizo - from Spanish or Portuguese to English huwa wanasukuma hivo hivo. Cha ajabu nini?
 
Kwanini hajamuachia safari mke mwenza?
yeye si jana tu katoka saudia......
 
Kwanini hajamuachia safari mke mwenza?
yeye si jana tu katoka saudia......

Huyo mke mwenza anatambulika kiserikali?

Ila huyu mama alikuwa mkali sana alivyokuwa mwalimu primary hot damn!!
 
Ukali upi unaozungumzia?

Labda huyo mke mwenza hataki limelight ndio maana hatumuoni kwenye shughuli za kitaifa.

Mkali wa kuchapa mifimbo na kukufokea tuuu....
 
Hivi mama wa kwanza ung'eng'e unapanda?

Toka lini darasa la saba aliyefundishwa na mtu aliyefeli form four ung'eng'e ukapanda!!!!!!!!!!!!!!.
Apo alipo anakaratasi kibao alizoandaliwa kusoma.
 
Mkuu Pdidy,Mama Salma Kikwete anakwenda Marekani katika jimbo la California,kwenye Mkutano wa Taasisi binafsi inayojulikana kama (USDFA),Mkutano huo utafanyika kuanzia tarehe 20/04 mpaka 22/04 katika mji wa Los Angeles,Licha ya First Lady wa Tanzania kuna First Ladies wengine 14 kutoka Africa (Kusini mwa Sahara) wamealikwa katika Mkutano huo ulioandaliwa na Celebrities Sharon Stone,Billy Zane na Danny Glover kwa kupitia Taasisi yao ya US Doctors For Africa (USDFA).Miongoni mwa watoa Mada katika Mkutano huo ni Mke wa Waziri Mkuu wa Uingereza Sarah Brown na Mke wa Governor wa California Maria Shriver Schwarzenegger.

Mkuu naomba kidogo angalia vyanzo vya habari yako,Nauli na Malazi kwa First Lady na ujumbe wake vimegharamiwa na USDFA.

Asante mkuu kwa kutupa ukweli katika hili. Umeonesha busara na hekima huku ukizingatia maadili. Na vyema wote hapa tungekuwa hivi ingesaidia sana. Kabla ya kuanza kutupa lawama na kupiga kelele ni vyema kujua ukweli kwanza. Ubarikiwe sana.
 
Labda huyo mke mwenza hataki limelight ndio maana hatumuoni kwenye shughuli za kitaifa.

Mkali wa kuchapa mifimbo na kukufokea tuuu....
Huo ukali ndio labda ulimfanya muungwana kutafuta pumziko pembeni......
 
Toka lini darasa la saba aliyefundishwa na mtu aliyefeli form four ung'eng'e ukapanda!!!!!!!!!!!!!!.
Apo alipo anakaratasi kibao alizoandaliwa kusoma.
we kokolo ulifundishwa na mwalimu mwenye elimu gani primary? imefika kipindi tuache dharau, mwalimu wa primary ndio waliotujengea msingi wengine hadi tupo hivi tulivyo.
 
we kokolo ulifundishwa na mwalimu mwenye elimu gani primary? imefika kipindi tuache dharau, mwalimu wa primary ndio waliotujengea msingi wengine hadi tupo hivi tulivyo.

Sorry, Pretty, walimu wa primary wengine hawastahili heshima yoyote, ni bumbu, wanachapa watoto hovyo na hawana elimu au hulka ya kufundisha watoto! Sijui kuhusu huyu mama maana wengine tumesoma zamani, lakini naomba nikuulize unajua walimu wa UPE? Kama ungewajua usingekuwa na heshima yoyte kwa walimu wa primary in general! Don't even get me started on that!
 
huyu mama alifundisha shule yake ya mwisho mbuyuni primary -kabla hajaingia ikulu ...

alikuwa akifundisha darasa la kwanza na la pili,dizaini walimu wa UPE!

ndio maana hata akihutubia utafikiri anafundisha kusoma na kuandika,pale anapowataka hadhira warudie sentensi au the way anapoisisitiza utafikiri anasomea watoto wadogo hadidhi za alfu lele u lela!!!
 
kwa kweli mzee mzima hakumtendea haki huyu mama ,kama kweli kila wakati mzee huwa anajidai kuwa alijiandaa miaka 10 kuingia ikulu...katika strategy zake alishindwa nini kumtafutia mkewe shule ajiendeleze iwe ndani au hata nje ya nchi........tumeshuhudia leo hii maprofesa waliokuwa walimu wa primary kwa kujiendeleza...
au akamuulize samwel sitta ...mkewe alikuwa mwalimu wa primary ..akajiendeleza mature entry hadi akafika chuo kikuu dar....leo hii mama sita akisimama mahali akiongea unasema yes kuna msomi anaongea,na ni mwanaharakati mzuri wa elimu kwa watoto wa kike.....
sasa sijui hayo maandalizi yalihusu nini...maana kila kitu wanashindwa....
 
huyu mama alifundisha shule yake ya mwisho mbuyuni primary -kabla hajaingia ikulu ...

alikuwa akifundisha darasa la kwanza na la pili,dizaini walimu wa UPE!

ndio maana hata akihutubia utafikiri anafundisha kusoma na kuandika,pale anapowataka hadhira warudie sentensi au the way anapoisisitiza utafikiri anasomea watoto wadogo hadidhi za alfu lele u lela!!!

Mkuu, umeniacha hoi! Kumbe ndo wale dizaini ya enzi zile za UPE? Ah, wale hata hadhi ya kuwaita walimu walikuwa hawana. isingekuwa kwa baadhi ya walimu wa miaka ya nyuma walioendelea na kazi kwa miaka kadhaa, nadhani kiwango cha elimu kwa wale in their mid to late 30s ingekuwa chini sana. lakini hivi sasa wale w early thirties and late 20s, unaona difference kubwa - English inasumbua, knowledge ni ndogo in general. Product ya UPE!

Hao walimu ndo walichangia uporomokaji wa elimu. Why do we think the dumbest should teach our children because the brightest should teach the children and the dumbest can try to teach university!

Back to First Lady wetu, mi simjui binafsi but she strikes me as a simple woman, not fit for her status, sasa wanamtandao wanajaribu kum-package like a career woman, lakini it will not work, sidhani kama yuko comfortable katika mikutano hii. She looked most comfortable siku ile alipomchezea ngoma mwanae kimila! Sorry not really top canidate for First Lady in my eyes. Tatizo anaonekana kum-irritate mume wake na ndo maana kwa miaka yote 10 alipokuwa anajitayarisha kupata urais, JK haku-invest katika mke wake.
 
Ili kujua zaidi Kuhusu Mkutano wa USDFA na First Ladies kutoka Africa ingia hapa:
Leadership for Health

Aisee unafanya kazi yako vizuri kumpigia debe Mama Salma, hongera.
But unfortunately kama nilivyoandika huko juu, anahudhuria ex oficio lakini siyo kwa sababu anaelewa suala hili au ana anything to contribute to that meeting. So we know that this is truly just a shopping expedition.
 
Aisee unafanya kazi yako vizuri kumpigia debe Mama Salma, hongera.
But unfortunately kama nilivyoandika huko juu, anahudhuria ex oficio lakini siyo kwa sababu anaelewa suala hili au ana anything to contribute to that meeting. So we know that this is truly just a shopping expedition.

WELL SAID ..SHOPPING EXPEDITION ....INGEWEZA KUWA NAFUU KAMA TUNGEWEZA SEMA....SHE IS ATTENDING A TALKING SHOP....since she has nothing to neither understand nor talk ...in that meeting...,yet with 15 aides....haiwezi kuwa wote wamelipiwa ...lazima hazina yetu inayoteketea icheuwe kidogo hapo aiseeee!

i wounder kwa nini waandishi wetu wa habari huwa akirudi hawamuwahi pale JULIUS NYERERE ....wamuombe awape briefing ya hizo shopping festival anazohudhuriaga!!!!
 
WELL SAID ..SHOPPING EXPEDITION ....INGEWEZA KUWA NAFUU KAMA TUNGEWEZA SEMA....SHE IS ATTENDING A TALKING SHOP....since she has nothing to neither understand nor talk ...in that meeting...,yet with 15 aides....haiwezi kuwa wote wamelipiwa ...lazima hazina yetu inayoteketea icheuwe kidogo hapo aiseeee!

i wounder kwa nini waandishi wetu wa habari huwa akirudi hawamuwahi pale JULIUS NYERERE ....wamuombe awape briefing ya hizo shopping festival anazohudhuriaga!!!!

MKuu, uko katika very humourous mood today! Sipati hata picha ataongea nini mama wa watu pale airport! Pia nina uhakika safari inayolipiwa na wamrekani haina per diem, kwa hiyo hizo per diem zitatolewa na serikali ya Tanzania!
 
tunajaribu sana kufata politics za west pasipo kujua misingi yake, kwa nchi za kiafrica Mama wa kwanza sio cheo wala title inayotambulika kiserikali, swali la kujiuliza hawa maFirst lady inakuwaje wanatumia fedha za serikali kwa safari zao, nasema safari zao kwa sababu officially hawatambuliki kama ni cheo
 
Back
Top Bottom