WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kwa nchi zilizoendelea huwezi kuta mwalimu kaferi form 4 au six anafundisha wanafunzi, ukienda Canada/UK/JAPAN/US/GERMAN/INDIA/CHINA, mwalimu lazima uwe na degree au zaidi ndo ufundishe primary/secondary etc. Hawa walimu wamesababisha wanafunzi wengi wa kitanzania kukosa confidence katika shughuli zao za kila siku akiwemo mkuu wa nchi. Lugha taabu tupu/ math ndo usiseme. Angalia mfano wa mkutano uliomalizika hapa nyumbani (World Bank/IMF), unatamani kufumba masikio na siyo macho.
Jamani,
Naomba kutofautiana na wanaosema kuwa hawana heshima kwa mwalimu wa primary na kuwa hao walimu ni wale waliofeli au sijui UPE.tUKUMBUKE TU KUWA SIYO WALIMU WOTE WA PRIMARY NI UPE au siyo kila mwalimu wa primary hajasoma vya kutosha.Hao wanaokandia walimu wa primary labda bahati mbaya sana walikumbwa na wimbi la hao walimu wa UPE ( most were indeed std seven leavers tena failures, na many started out as housegirls before "upgrading to teachers")...
Mimi binafsi nawaheshimu sana walimu wangu wa primary na wengine wao hadi sasa wana nafasi zao sehemu mbalimbali baada ya kubadili profession na hata kupandishwa vyeo.
Tukirudi kwa huyu mama yetu wa kwanza - mama Salma - binafsi namheshimu na sioni ubaya wa mwalimu wa primary kuwa na nafasi hiyo maana kila mtu kaandikiwa bahati yake.
Hata tukimkandia, tukamchambua, tukanuna..anabakia kuwa FL for the time being, na ataingia kwenye annals of history of this nation.
Kama vipi, basi tujilaumu kwa kuwachagua hao viongozi ambao hawatufai - tukaacha wale wanaofaa ( hii ni changamoto kwetu sote).
Last edited: