Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuona mumewe hatulii hata nyumbani nae kaamua kuanzisha safari usiku huu anatarajia kupanda pipa la KLM kuelekea USA akiwa na group la watu 15 kati ya hayo 13 wote wako business class.
Kazi kwelikweli kama wazazi wako hawakauiba too late now kila la kheri mama tunawatakia mlo mema na safari njema huko muendako.
Kazi kwelikweli kama wazazi wako hawakauiba too late now kila la kheri mama tunawatakia mlo mema na safari njema huko muendako.