Okuberwa
Member
- Mar 17, 2011
- 68
- 34
Kumbe Maralia Sugu na Faiza fox ni majina ya Mama Lwakatare na ana I'd 3
Hapa patamu, kumbe ndiyo maana FF hajachangia mawazo yake ktk 'uzi' huu!
Kumbe Maralia Sugu na Faiza fox ni majina ya Mama Lwakatare na ana I'd 3
wakuu nimeshindwa namna ya ku-upload yale mabomu ya Kakobe kuhusu huyu mama.
Wanajua umuhimu wako mama hawawezi kuifungia! Waifunge JF wakuudhi!!! Wakikupoteza wewe mtetea CCM namba 1 kwenye mitandao dunia nzima alafu watoke vp tena while mikutano yao ya hadhara hatuendi walau vijana wanapata nondo zako za ccm hapa penda wasipende!!
OLE WENU MNAO MNYOOSHEA MTUMISHI WA MUNGU KIDOLE... mtu akinitumikia BABA atamheshimu said JESUS. mimi simoooo..
hata internet caffee nazo zitawekewa mkwara kuhusu jamii forum