Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Kwa bahati mbaya ikifungiwa na sisis tukafungie makanisa na mashule ya huyo mama Lwakatare.

I was also wondering...anachokiogopa nini kuhusu JF? Basi na yeye sio msafi! Kama kweli kazi yake ametumwa na Mungu, anachochukia nini watu kusema ameifilisi Mang'ula mechanical tools? Hayo ndiyo matusi ya nguoni anayoyasema?
Mpaka lini watu wataendelea kujificha kwenye dini wakati ni wafanyabiashara hatari kuliko hata drug dealers? Anataka watu wakae kimya hata kama viwanja vya wazi vinaporwa au mashirika ya umma yanachukuliwa kwa ujanja ujanja? Huu utumishi wa Mungu mwingine ni "very questionable".....just curiosity!!!
 
He/She who wants to shut other peoples mouth..........his/her mouths, nose, eyes and ears will be shut first so that him/her can not hear, see or breathe what other mouths wanted to say.!!!!! alaaaaaaaaa................Ta Muganyizi order!!
 
Nafurahi kwamba nao huwa wanasoma mambo yajayo hapa jamvini. Kufuta JF sio rahisi kiivyo. ila ni vyema member wakawa na lugha za star ni kusiwe na majungu au issue zisizo na uahakika. Maana kwa Lwakatare kusema hivyo ni kwamba Wabunge na viongozi wengi ni member na wanutumia JF kupata hoja na michango mabalimbali.

Kuhusu la kufanya members wa JF tusiogope. Maana ni kawaida ya Magamba kuukimbia ukweli ndio maana wanaogopa JF inavyoibua mambo ya kuligusa taifa na jinsi vijana wasomi wanavyochangia hapa JF hilo ndio linaloumiza kwa sasa. Tushikamane kwani umija ni nguvu na kweli ndio itakayotuweka huru bila kuwa ushabiki usiojenga.
 
Kwa bahati mbaya ikifungiwa na sisis tukafungie makanisa na mashule ya huyo mama Lwakatare.
Wanajua umuhimu wako mama hawawezi kuifungia! Waifunge JF wakuudhi!!! Wakikupoteza wewe mtetea CCM namba 1 kwenye mitandao dunia nzima alafu watoke vp tena while mikutano yao ya hadhara hatuendi walau vijana wanapata nondo zako za ccm hapa penda wasipende!!
 
Huyu mama ni mtata sana. Kuna kipindi aliitwa tume ya maadili ya viongozi kuhojiwa ni kwanini hakutangaza mali alizonazo...kama sikosei, na niko tayari kusahihishwa, akaishia kusema shetani aliiba fomu zake alizojaza.

Kama huo sio usanii ni nini? Nini anachojaribu kuficha ambacho kinamkosesha raha kiasi cha kuiogopa JF? Kweli viti maalumu vifutwe...haviongezi tija kwa Taifa hili ni mzigo tu maana watu wenyewe wanaoingia bungeni, mhhh!
 
Huyu anayeibiwa fomu za shetani, mbona mtihani! Kuna analoliogopa lisijulikane ndio maana anataka kuona JF inazikwa
 
hivi ni kweri hyo mama anayejiita mchungaji kumbe ni mwizi tu kipindi chote alichokaa amepata swari la kuuliza la kipuuzi kiasi hki? katiba mpya ije na kudhibit wapuuzi km mama rwakatale
 
ni ndoto!.......................huwezi zuia mtu kufikiri labda umemuua huyo mtu ili ubongo wange usifanya kazi.tena.............utaua wangapi?
 
Naibu waziri kaongopa kuwa hawafahamu wamiliki wa JF! Kweli? Huyu bwana ni mweledi sana wa IT. Naamini aliifahamu JF muda mrefu kabla kuingia kwenye SIASA. Tumemshambulia Mchungaji Rwakatale kiasi cha kutosha sasa. Tupate muda wa kujitofautisha naye sasa. Tumueleze manufaa ya JF kwa TAIFA hili. Ngoja nianze kidogo:

-JF ni chombo huru cha habari kuliko kingine chochote nchi hii.
-JF sio tu tunahabarishwa bali pia tunahabarishana wenyewe kwa wenyewe kwa uhuru kabisa.
-Habari tunazopata humu JF baadhi haziandikiki wala kutangazwa kungine kokote kule.
-Hatununui wala kulipia JF ili kupata habari. Hapa ndio tunauona umuhimu wa kuchangia JF.
-JF imeifikisha Tanzania katika ngazi nyingine kabisa ya kupeana na kutoa habari.
-Humu JF tunadhibitiana vilivyo ili kuzuia habari za uongo, uzushi, uvumi na ubambikaji.
-Akili na vipaji vilivyoko humu ni adimu kuvipata kungineko.

Karibuni WANASIASA wote wa TANZANIA humu JF. Naamini mkiingia humu hamtatoka tena na mtaendesha SIASA na mambo yenu mengine kistaarabu, kwa staha, kwa heshima, kwa akili na utashi wenu na muhimu zaidi kwa maslahi ya kudumu ya TAIFA.
 
Jamani nawakumbusha kuwa mwanzishaji wa sread anauliza NINI KIFANYIKE!
 
kama JF inmesajiliwa nje hawawezi kuifunga la sivyo wangelikuwa wamefunga muda mrefu sana Hata hivyo lazima tupigane ili isifungwe

Unajua kilicho waudhi ni kitendo cha JF members kushiriki msiba wa REGIA MTEMA (RIP) aliye kuwa mbunge via CHADEMA hilo linawaumiza sana kwani hakuna mbunge wa CCM ambaye JF ilishiriki wanasahau kuwa REGIA alikuwa member wa JF
basi serikali yetu ni ya vilaza..sasa kwa nini wasingetafuta undani kuwa kwa nini walishiriki? mbona JF haikushiriki msiba wa chach wange? kumbe tuan viongozi vilaza hivi na wanaokurupuka
 
Jamani nawakumbusha kuwa mwanzishaji wa sread anauliza NINI KIFANYIKE!
Ingawa ni vigumu kulifanya hilo lakini vizuri tahadhari zikawepo. Ntatoa mapendekezo machache:
-Founder mmoja, Max, WANASIASA na watu wengine wengi wanamfahamu. Akawape darsa kidogo. Wakitaka awape semina isiyo na posho kama watakuwa radhi.
-Tutoe vipeperushi kuwaelimisha WANASIASA wetu jinsi JF ilivyo, muundo wake, inavyofanya kazi. Tukubali kuchangia gharama za vipeperushi hivi.
-Tujaribu KUISAJILI JF hapa nyumbani.
-Baadhi yetu tunawashambulia watu kwa mambo yao BINAFSI hata pasipostahili wala kuhusiana na kazi zao. Tuache.
-Tuwe na utamaduni wa kuomba radhi tunapokosea au kuongopa.
-Tuwaombe ushirikiano wa dhati hasa katika kutoa na kupeana habari.
WANASIASA wetu wakubali kubadilika. UKWELI wasiuite ni MATUSI. Hawakawii kusingizia MAADILI yanavunjwa wakati wavunjaji wakubwa wa maadili ni wao. Waruhusu vyombo vya habari wanavyomiliki, wanavyoendesha, viwe HURU. Vyombo vya UMMA vinavyoendeshwa kwa kodi zetu viwe vyetu sote au vionekane kuwa ni vyetu.
 
Kafilisika kimawazo - mwache aendelee kujaza walimu wasiokuwa na taaruma ya ualimu kwenye shule zake - anachokiangali ni mtu kuelewa lugha ya english tu!
 
I was also wondering...anachokiogopa nini kuhusu JF? Basi na yeye sio msafi! Kama kweli kazi yake ametumwa na Mungu, anachochukia nini watu kusema ameifilisi Mang'ula mechanical tools? Hayo ndiyo matusi ya nguoni anayoyasema? Mpaka lini watu wataendelea kujificha kwenye dini wakati ni wafanyabiashara hatari kuliko hata drug dealers? Anataka watu wakae kimya hata kama viwanja vya wazi vinaporwa au mashirika ya umma yanachukuliwa kwa ujanja ujanja? Huu utumishi wa Mungu mwingine ni "very questionable".....just curiosity!!![/QU she must be an old witch,lost hope! Hachelewi,utamsikia ni mganga wa kienyeji,hana mtu anaydmwakilisha,she a waste,so loose,sijui nani amemfanya kimada kumpa ubunge-Ugly her,my leg!
 
Tatizo kubwa la wanasiasa wetu ni kudhani JF inamilikiwa na CDM!!! Wazo hili ni la kishetani kabisa kwani JF ina mmliki wake ambaye ni kama hana mamlaka ya nini afanye zaidi ya kumentani sheria,kanuni na taratibu zinafuatwa ipasavyo.

Ukitoa hilo hana access ya Losambo atapost nini na nini msimamo wangu. Katika kipindi hiki cha watu kupenda mabadiliko ni wazi mitandao mingi sana itachukiwa kwa kuihusisha na siasa za vyama vya upinzani.

Suluhisho ni watu kubadilika na kusoma alama za nyakati kuwa mtu wa jana si wa leo. Watu wanahitaji mabadiliko na wao hawataki mabadiliko hapo ndipo mgongano unapoanzia.

kweli. Wanadhani hivyo hasa walichoona kipindi cha msiba wa Regia. Hawajui kuwa jf ni muunganiko wa watanzania ambao wamechoshwa na uccm?
 
Nadhani kuondoa viti maalum kutapunguza matatizo mengi kwa jamii ya Watanzania - rushwa (za hela na ngono), pumba na blah blah, na zaidi kuwarudishia hadhi wanawake iliyopokonywa na wanasiasa
 
Kwa bahati mbaya ikifungiwa na sisis tukafungie makanisa na mashule ya huyo mama Lwakatare.[/QU Jamani kumbe behind kuna huyu mama aliyepotea,Hilda Ngoye,kumbe alikumbukwa kijinafasi cha upendeleo,shame on her,sasa anatafuta kuibukia JF! She's lost,hawana wanaowawakilisha hawa watu,just wasted lk hdavy alcoholic!
 
Back
Top Bottom