jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
JF most of the time is right...Kumbe kelele ni kwasababu wameshikwa pabaya.Duuuuuu hapa kashikwa pabaya!
JF most of the time is right...Kumbe kelele ni kwasababu wameshikwa pabaya.Duuuuuu hapa kashikwa pabaya!
Huyo mama nae kumbe huwa anaingia JF kama guest sio?
Hujaelewa kigezo..?Hujawahi kuona akiwaambia watu wafunge mikanda ili wapande ndege kuelekea ughaibuni na waaumini wanafuata maelekezo hali ya kuwa wapo kwny viti mikocheni b.Kati ya matatizo lukuki yaliyojazana katika jamii huyu mama anaongelea nani mmliki wa JF? huku ni kupoteza muda na rasilimali kwa kuwa na wabunge wa namna hii..mpaka leo sijaelewa kigezo cha kumpa huyu mama huo Ubunge..
ALIPATA KUNENA HAYA...akitaka kuifuta jf alipe kwanza umeme,amekalia kuvaa mibatiki yake tu kumbe mwizi wa umeme,anaiibia tanesco,huyu kweli mwehu,mihela yote ile hata umeme unamshinda kulipa,sa anatoza ada kubwa kwenye shule zake kwa ajili gani,au ananunulia nyama misukule yake inayomwabudu
Mzee ni Mndamba wa Mngeta,YULE SIO WA BK ni MPOGOLO toka MLUNGU CHIBIDU Mahenge aliwa olewa na Mtu wa BK
nahisi maamuzi ya kufunga jf hayatakuwa sahihi sana kwa sababu kwa kufanya hivyo kunapunguza fursa kwa wanajamii kutoa mawazo yao juu ya mambo mbalimbali yanayotokea ktk jamii.