Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

huyu mchungaji alitafuta cheap popularity,ukizingatia alipata ubunge wa kuteuliwa as a second choice baada ya mbunge mmoja kufa,ndo akafanyiwa mpango na kupewa kiti cha ubunge ili kujenga heshima biashara zake,

je unajua kuwa anamiliki maghorofa kariakoo?

she is an MP,Dr.,school owner,church owner,radio station owner,and mchungaji, yet huwa hana mchango wa maana bungeni,zaidi ya kupoke hizo seating allowances
 
Huyu mama kichaa nini au sadaka hazitoshi nini siku hizi
 
aibu yetu aibu yake?.....


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
...viti maalumu,Chama Cha Mapinduzi.Yeye amepewa uhuru wa kuongea kupitia mahubiri yake lakini wenzio wanaotumia fursa ya mitandao anawaonea wivu.Kama vipi arudi kulima ndizi Bukoba
 
...viti maalumu,Chama Cha Mapinduzi.Yeye amepewa uhuru wa kuongea kupitia mahubiri yake lakini wenzio wanaotumia fursa ya mitandao anawaonea wivu.Kama vipi arudi kulima ndizi Bukoba
YULE SIO WA BK ni MPOGOLO toka MLUNGU CHIBIDU Mahenge aliwa olewa na Mtu wa BK
 
Ajiandae muda wa matapeli kama yeye na wenzie kuitafuna nchi hii umekwisha.ukweli wote wa uchafu wao na vijiwe vyao wanavyoviita makanisa utawekwa hadharani haraka.
 
muhongo amesema shule za mama lwakatare wameiba umeme wenye gharama ya tsh, milioni 10,5 na kesi yao iko mahakamani kwa io atakwenda jela..
 
tusimshangae kwani katika list ya maswali yake ya msingi hili aliliweka la kwanza,, kweli alisemalo mtu ndo limejaza moyo wake... kwa nini asiupigie maombi uwe offline asaidie serikali ya magamba kutumia nguvu na fedha nyingi kuandaa sharia.
 
aibu yetu aibu yake?.....


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Waziri amesema kesi ipo mahakamani, kwahiyo usitajetaje tena jina la mama mchungaji! Lakini kama ni kamba, basi imemkatikia pabaya.
 
mpaka kuingia kwenye siasa huyu mama amefanya machafu mengi alikuwa anajificha kwa kisingizio cha dini ndio maana wakati mwingine tunawalaumu watu wa usalama wa taifa hawafanyi kazi zao sawasawa kwanza huyu mama alidhulumu pesa alizoanzishia shule zake hadi kupelekewa kukamatwa enzi za mkurugrnzi wa makosa ya jinai adadi Rajab kumbukumbu zipo lakini bado wamemruhusu kuingia bungeni na bado anaendelea na utapeli wake mpaka anawaibia Tanesco badala ya kutaka JF ifungwe alipaswa kueleza kwanini yeye anajiita mchungaji na hali taasisi zake zinaiibia Tanesco
 
Mchungaji mh Getruda amesahau kuanza kwanza kulitoa BOLITI kwenye jicho lake, akaanza kumtolea mwenzie KIBANZI.
 
Huyu mama namfananisha na Yuda Iskariot kabisa!
Yeye kanenepeana kwa misadaka
ya masikini tena kuna tetesi huyu
ni mmoja wa wale walio upata huu uchungaji NIGERIA na kujifanya ana miujiza!
Hili ni LI-LUSIFA SHETWANI KUBWA!...
 
hivi huyu mama yeye yu safi sana kiroho au?

Mtumishi wa mungu lazima awe na kiasi na subira suala hili lilikwisha-semwa zamani yeye anarudiarudia tu,hana hoja ya msingi mi nafikiri ni kukosa hoja hivyo kuvamiavamia tu hoja za zamani ili nae aonekane kama mwanasiasa makini na mwenye uchungu mkubwa kwa taifa ilihali taasisi zake zinahujumu uchumi wa nchi.

Katika hili hanapaswa kujiuzuru wasifa wake na kuendelea na maombi kwa kondoo waliopotea na wale wanaojificha madhabauni pake kuhujumu uchumi.
 
Back
Top Bottom