JF inafanya kazi 90% zaidi ya maafisa usalama wanaosaka habari juu ya mawazo ya wananchi mitaani. Ukiingia JF utajua watanzania wanfikiria nini na wanataka nini na ndiyo maana ukiangalia sera mbalimbali nyingi zimekuwa zikitoka JF. JF inawasaidia akina JK kujua ni jinsi gani mambo yanavyoshughulikiwa katika nchi nyingine na hivyo kujifunza. JF has more positives to the ruling elites than negatives. It is a source of transparency. More people in the Govt nowadays afraid of being exposed on JF for their shady deals than they are afraiding of TAKUKURU or TISS. This helps to self-regulate the corrupts and lazy officials. A big boost to 'Wazalendo'
They will never ever shut JF, they tried it in 2007 (Jambo Forum) by printing it as Terror website and they failed. JF is not who owns it, JF is me and you are taking time to present their views freely without fear of intimidation from the corrupts!. They may not be able to shut our thoughts.