Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Au huyu fake pastor ni MS kajificha humu kila mara kutuharibia mada, so tuwe makini na tusiwe tunapoteza muda kwa wale wachangiaji wenye negative kwamambo yaliyo wazi hawa ndo akina Lwakatare, eg swala la kukataa eti hakuna matrecta yanayopigwa na jua pale dodoma jamaa anaamua kubisha, kumbe ni lijimama
 
Mkuu huyu mama anafadhiliwa na wabaka haki hasahasa Wafisadi. Watanzania tuwe macho tunanyimwa haki. Mpaka hata mtu anaejifanya wa Mungu anaungana nao kutumaliza.


huyo mama si mtumishi wa Mungu....SIO.. ni mtumishi wa mshetani.....
 
Yaani baada 'kikosi kazi' kumchanwa vilivyo kwa kukiuwa kiwanda cha Mang'ula Morogoro ndiyo na yeye kaamua ku reveng kivingine

Apo mama umeuvaa mkenge!
 
Viongozi hawana sababu za kuogopa mitandao ya jamii, badala yake wangeipenda kwa kuwa inawafanyia self assessment.
 
HUYU mama nilimfahahamu zamani kule mikocheni B wakati ule bado anasota....

alikuwa anafuga vibinti vya kinyarwanda na kikongo...

mmoja kwa jina alikuwa anaitwa KABUO

nini ilikuwa agenda yake?
 
Kumbe Maralia Sugu na Faiza fox ni majina ya Mama Lwakatare na ana I'd 3
 
Huyu mama anachanganya ya kaisari na ya Mungu.Na kuingia kwenye siasa ni ili mambo yake ya utapeli yafanikiwe.Atuachie JF Maana hapa kuna mchele pumba hakuna.
 
Msekwa alijaribu, huenda wakafanikiwa

hawana uwezo huo na hata wakiwa nao watakuwa wameadress symptoms na cyo problem.wameshikwa pabaya coz maovu na uozo wao wote unaanikwa live.na hii mitandao haijaanzia bongo.
Credits tunazirudisha kwa founders Jamii forums for diz brilliant idea.keep it up
 
1 Co 16:22 "Mimi Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kama mtu ye yote hampendi Bwana Yesu Kristo na alaaniwe. "Maran-atha." Bwana wetu, yu aja!
Gal 1:8-9 "Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!"
 
Mods,
Tusaidieni kuliweka jibu lote humu. Jamaa hawana raha na uwepo wa mtandao huu. Wanaona watateseka zaidi 2012( Uchaguzi wa CCM) na 2015 uchaguzi mkuu JF ikiendelea kukomaa na kuimarika.
 
Kwa mtu yeyote asiyependa changamoto,kukosolewa na mengine mengi yanayoweza kumfunza au kumuadabisha mtu hata ipende JF hata kidogo.

Ni kweli zipo nyzkati inahitsaji moyo kusoma jambo hapa,lakini pamekuwa ni chuo cha mafunzo na elimu dunia kwa wengi nikiwamo na mimi.

Nachoweza kuwashahuri viongozi wote wanao pitia hapa wakubali yote yaliyomo na kuwa na roho ya uvumilivu lakini zaidi wawe na roho ya kujifunza zaidi kutokana na wanayoyasoma.
Kiongozi mzuri sifa yake kubwa ni kukubali kukosolewa bila kuambiwa mabaya na udhaifu wako huwezi kuwa kiongozi safi na salama,hasa ukizingatia binadamu huwezi kuyajua madhaifu yako.

Wana JF songeni mbeli.Ni kweli moto wenu ni mkali mnatupika kwelikweli.
 
Naomba tuanzishe thread/uzi mmoja wa kumnyoosha huyu mama,mimi najitolea kuanzisha uzi,mods naomba msaada wa kuanzisha thread na msiifute..nadhani ana tatizo la msingi sana.

Badala aendelee kuwaibia washiriki wake pale kanisani kwake analeta porojo zisizo na msingi. Kama anataka tumuharibie hata hiyo biashara yake ya kanisani aseme tu.

Sisi tunaweza sana kutoa habari.
 
Hii ni alert tu ya kuwa tayari kwa lolote. I hope we have a backup somewhere, wakiamua kuifunga tutaibuka kwa style nyingine!!
 
wenye data za huyun mama wazimwage jamvini tafadhari nasikia ni tapeli.
 
Msameheni bure. Hana hoja, swali wala mchango wowote tangu aingie bungeni. Angalau mwacheni leo ajitutumue kupitia mgongo wa JF na yeye aonekanage we!!!

Hivi huyu mama toka ameteuliwa kuingia Bungeni Je, alishatoa hoja yoyote kule au kuuliza shwali lolote lenye maana.

Kwa sababu tusipoteze muda kumjadili mtu ambaye ana upeo finyu wa kufikiria. Naye ameamua kuuliza hivyo ili aonekane yupo Duniani ndani ya Bunge.

MKOMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE KUTUFUATILIA

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mkuu karibu hapa JF, mimi naitwa only83..JF ni zaidi ya uijuavyo..hata mkuu wa kaya ni member hapa na uwa anafaidika na mawazo ya wanaJF.. wazo la kuwa JF ni ya CDM nadhani ni ule muendelezo wenu wa kutumia kufikiria kwa kutumia makalio...

Kama vijana na wanachama wa magamba hawajui umuhimu wa kutumia mitandao kama sehemu ya kujijenga msisingizie JF kuwa ni ya CDM..Hakuna uhusiano wa JF na CDM isipokuwa member wengi wa JF wanaweza kuwa ni wanachama wa CDM, japo sina uhakika sana na hili.

nakubaliana na wewe 100% wakati waziri mmoja mbabe alipotaka kutumia madaraka yake vibaya kwa kisingizio cha kufuata sheria JF ilitusaidia kuelimisha umma kuhus hizo sheria waziri huyo anazojifanya kuzijua matokeo yake wakubwa wake wakapata somo kuhus sheria hizo kupitia JF na kumkemea afuate sheria. Hata jana Naiba Spika alipoua hoja ya mgomo wa madakatari kwa kutumia kanuni tulitumia JF kumuumbua kuwa kifungu hicho cha kanuni hakisemi mbunge aungwe mkono na wabunge wenzaje kwa kusimama na matokeo yake jioni akajirekebisha na mjadala wa mgomo unajadiliwa bungeni hivi sasa.

Hata udhaifu wa Katibu Mkuu wa CDM kuweka mslahi yake mbele wakati alipotakiwa kugombea urais mwaka 2010 kunakosababisha ashindwe kuchukau hatua za kichama kuhus hoja ya ongezeko la posho za wabunge tunajadili humu humu kwa uwazi

Big Up JF!!!
 
Back
Top Bottom