Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mkuu hii siyo mara ya kwanza hata kwenye kikao cha nec ya magamba pamoja na ripoti ya kina mkama walisema kuwa jamii forum ni mwiba kwao.

My take:
huu ni ufinyu wa mawazo hivi kweli mbunge unayepokea 330,000 kodi za wavuja jasho kwa kupasha moto kiti unasimama unasema upupu kama huu hunakuwa huitendei haki kodi ya mwananchi.yaan kipindi chote ambacho alikuwa nje ya bunge ndo wananchi wamemtuma kuja kuuliza mmiliki wa jf?then what?

Huyu mama ni shetani ambaye anatumia jina la Mungu kama mwamvuli wa kuendeleza uovu wake, ukweli kama yule kahaba anaeitwa babuloni mkuu katika kitabu cha ufunuo ndivyo huyu mama mwisho wake utakavyokuwa, kwa nguvu zake MUNGU wa kweli atapigwa mapigo mabaya kwauovu wake wakuwadhulumu masikini na wenyeshida kwa kuwadanganya anawaombea huku wakiishia kumtolea yeye sadaka aendeleze kujenga mashule yake yanayowatoza masikini makodi makubwa.

ole ole ole wako mama rwakatale siku yako ambayo aliejuu atakuhukumu imefika, tubu sasa achana na mambo ya giza na kudhulumu wenyekutaabika, waonee huruma.

jf ni sehemu muhimu kwa jamii ndio maana jk haifungi mtandao huu pamoja na kwamba ndie mtu anaeandikwa zaidi humu, ushetani wako usiingilie uhuru wetu wa kuongea.

Pole kama umeguswa, ndio utamu wa siasa.
 
Huyu mama anatumia nguvu za giza kukusanya mafungu ya kumi toka waumini wake yaani amewafanya kama misukule. Yaani jinsi anavyokusanya mapato na TRA wangefanya hivyo mbona tungekuwa mbali sana.
 
Nafikiri leo ni one of those days ambazo zinatokea mara chache kama lip year ambapo JF member karibu wote wanakuwa na common interest. Hii imenifurahisha sana kwamba tunatofautiana lakini pia kuna mambo ambayo yanatufanya wamoja. Long live JF!!!!!!

Huyu mama mchungaji kama kayasema hayo basi kuna nyuzi zimemgusa humu. Hawa wana siasa wasiokubali kupokea "criticism" walikuwa hawafai kabisa kuwa wana siasa. Anafikiri JF ni kanisani kwake humu, kila atakalo sema watu watamchekelea tu.

Hawa ndio wale wanaoingia siasa kwa sifa na pesa zao na si kwa kuwa ni wana siasa. Mie alivyoingia nikajuwa anhaa sasa, tumepata msemaji ambae atakwenda mjengoni kufanya mambo, kumbe si lolote si chochote. Waondoe tu hivi viti vya kupeana.
 
Muwe makini kuitikia "Bwana asifiwe" yake. Isije ikawa mnamsifia bwana yake.
 
UKITAKA KUJUA KAMA HATA MZAZI WAKO NAYE TAYARI KESHAUNGANA NA JOPO LA 'MA-BINTI WA JUZI' WENYE KUHITAJI KUSAMEHEWA BURE KI-UMRI, HEBU KAMPIGE TEST YA KUMUULIZA NJIA YA KUELEKEA KIJIJINI KWAO ALIKOZALIWA NA UTAONA AJABU YAKE

Mwacheni huyo Binti wa Morogoro, Mchungaji Lwakatare, anazeeka vibaya huyo.

Ukiona Binti wa juzi kama huyu mama yetu wa heshima nyingi tu katika jamii yetu keshanza hata kusahau njia ya kuelekea kijijini kwao alikozaliwa basi tayari ujue ya kwamba tarehe zimekwenda sana hivyo kila anachosema ni kumsamehe tu jamani.

Mama, kabla haujakimbia kufikiria kufunga mtandao wa Jamii ya Tanzania kama huu wa JF, ingekua busara ukatowesha kabisa kwanza JAMII YETU YA TANZANIA na kero zinazotukabili na mara baada ya hapo wala hautoona kitu mtandao hapa.

Au ndio kusema kwamba kitendo cha JF kukukalia kimya kutu iliozunguka uanzishaji wa shule za St Mary's ndio sasa imekua kosa?


Wana JF kutokana na mtandao huu wa kijamii kuibua na kueneza siri za Serikali Wabunge wa CCM wameridhia Mtandao huo ufungwe kama ilivyokuwa Ze Utamu na Mtoa Hoja ni Mchungaji Getrude Lwakatale, Leo pia kapeleka swali lake Bungeni.

Waziri kaitetea JF na kuwashauri wabunge kuwa ni chombo cha habari cha kijamii.
 


MUHESHIMIWA MBUNGE
DOCTOR
REVEREND
PASTOR
FOUNDER OF MOUNTAINS OF FIRE CHURCHES...
FOUNDER ST. MARYS INTERNATIONAL SCHOOLS AND UNIVERSITY
YET ANAOGOPA JF
HUYU NI KILAZA



 
Kuna mtu ananidokeza eti kumbe huyu Mama ni MR wa jukwaa la kule bondeni...
 
Ndio maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana..............labda kaikumbuka hiiiii

Re: Mhe Rwakatare ametunukiwa PHD feki na chuo kinachomilikiwa na familia
Haya ni maelezo ya Chuo kilichomtunuku PhD... Accreditation

Teamwork Bible College International is an accredited Bible College under the Worldwide Accrediting Commission, overseen by Dr. Paul Richardson. Anyone wishing to contact them for verification may write to: The WWAC, Dr. Paul Richardson, Executive President, 2800 Blendwell Rd., Richmond, VA 23224.
This accreditation gives assurance that Teamwork offers programs meeting national and international standards of excellence.
Government Accreditation

The Worldwide Accreditation Commission of Christian Educational Institutions is not recognized by the U.S. Department of Education.

Accreditation is “a review by your peers” that ensures that one is offering a quality program. TBCI has received that. TBCI's peers are other Christian educators, such as the Worldwide Accreditation Commission of Christian Educational Institutions. The U.S. Department of Education is not a peer of Teamwork Bible College International.

Government-recognized accreditation is not necessary for the religious vocations for which we are training people. People can function and hold jobs in all of these areas without government-recognized accreditation.

Individuals seeking employment in government-licensed positions such as public school teachers, state-licensed psychologists or psychiatrists, and non-church-related counselors definitely need government-recognized accredited degrees.
Generally, people working in ministry positions do not need a government-accredited degree.
Teamwork Bible College International is authorized by the Department of Higher Education, Commonwealth of Virginia, USA, to grant degrees by religious exemption
Kinaitwa Teamwork Bible College​
 
Sijui kama huyu mama kashawahi kusikia neno censorship maishani mwake, maana anaweza kuwa samaki anayeogelea katika bahari ya kutatua matatizo kwa ubabe kiasi kwamba ubabe ni second nature kwake.

Asifikiri kila mtu anasali klanisani kwake. Enzi za kupelekana kama kondoo kihivyo zishapita.
 
Kama ameifuatilia hii thread atakuwa anajutia kihere here chake! Am sure atakuwa ameshaambiwa kinachoendelea hapa. Am sorry for her! Masikini mama mchungaji wa watu anadhalilishwa hapa!!!
Hadi Rejeo hajapenda ........ we mama kweli umechemka vibaya....... ngoja tusubiri FF na GenuineBrain wana mtazamo gani
 
Tokea nilipokuwa junior hadi nimekuwa senior ndani ya JF sijawahi kuona topic iliyochangiwa sana tena kwa muda mfupi kama hii ya huyu TEJA muuza Unga a.k.a Mch. Dk wa Uchawi toka Nigeria Tapeli changudoa G. Rwakatare!

Sasa najua watanzania wakichoka wanaweka itikadi za vyama pembeni na wanamshambulia muovu. Hili ni fundisho kwa wale wote wanaotuibia mali zetu nasema siku ikifika hakuna nani wala nani tutawa*****.

Lakini pia huyu Jimama ameshakuwa bikra sasa anatafuta mume mpya baada ya yule dingi kutoswa!
 
Back
Top Bottom