Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Huu ni uingiliaji wa watu kutoa maoni yao.
Watu makini hukubali changamoto,wasio makini hukandamiza changamoto.
Watu makini hukubali changamoto,wasio makini hukandamiza changamoto.
Huyo mama nae kumbe huwa anaingia JF kama guest sio?
Huyu mama kweli kiazi, Hili swali si angeuliza hapa tungemjibu. Ndio ameona ni swali la kualalisha 330,000, Bwana yesu ampe HekimaNi kweli mama Rwakatare atauliza hilo swali, nimeona kule Tweeter Mh. Zitto akisema hivi....
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabweLeo swali namba 52 Bungeni, ndg. Lwakatare anauliza nani mmiliki wa @JamiiForums
Taifa lipi unaloliongelea wewe? Naheshimu uhuru wako wa kutoa mawazo yako,vinginevyo......Kwa nini kitakachofuata kiwe moto zaidi? Ina maana JF ni kwa ajili gani au wengine hatujui? Mimi ninanvyojua JF upo kwa ajili ya ku-interchange views, kutoa mawazo yenye tija kwa maendeleo ya taifa na mambo mengine kama hayo. So naamini uamuzi wowote wenye kutaka kufunga JF utakuwa umefanyiwa tafiti za kutosha na kujiridhisha kuwa mtandao huu hauna tija kwa maslahi ya taifa.
Kweli mchungaji anaweza kuuliza suala kama hilo?
Je amesomea skuli st .. gani huyo?
thanks first ladyKwa mtu yeyote asiyependa changamoto,kukosolewa na mengine mengi yanayoweza kumfunza au kumuadabisha mtu hata ipende JF hata kidogo. Ni kweli zipo nyzkati inahitsaji moyo kusoma jambo hapa,lakini pamekuwa ni chuo cha mafunzo na elimu dunia kwa wengi nikiwamo na mimi. Nachoweza kuwashahuri viongozi wote wanao pitia hapa wakubali yote yaliyomo na kuwa na roho ya uvumilivu lakini zaidi wawe na roho ya kujifunza zaidi kutokana na wanayoyasoma. Kiongozi mzuri sifa yake kubwa ni kukubali kukosolewa bila kuambiwa mabaya na udhaifu wako huwezi kuwa kiongozi safi na salama,hasa ukizingatia binadamu huwezi kuyajua madhaifu yako. Wana JF songeni mbeli.Ni kweli moto wenu ni mkali mnatupika kwelikweli.
Mbunge wa viti maalum CCM Mchungaji Dr. Getrud Rwakatare leo ameushambulia mtandao wa jamii forum katika kipindi cha maswali na majibu kwa wizara ya sayansi na teknolojia kwa swali alilouliza kuwa: Mtandao wa jamii forum umekuwa ukisambaza taarifa za uwongo, nani mmiliki wa mtandao huu? Ndugai akaliwekea msisitizo: Mh. naibu waziri majibu kikamilifu maana hili ni jambo la msingi...
Mkuu karibu hapa JF, mimi naitwa only83..JF ni zaidi ya uijuavyo..hata mkuu wa kaya ni member hapa na uwa anafaidika na mawazo ya wanaJF.. wazo la kuwa JF ni ya CDM nadhani ni ule muendelezo wenu wa kutumia kufikiria kwa kutumia makalio...
Kama vijana na wanachama wa magamba hawajui umuhimu wa kutumia mitandao kama sehemu ya kujijenga msisingizie JF kuwa ni ya CDM..Hakuna uhusiano wa JF na CDM isipokuwa member wengi wa JF wanaweza kuwa ni wanachama wa CDM, japo sina uhakika sana na hili.
ndiyo kazi tuliyomtuma?Sasa Rev.Rwaka kakosea nini,JF si inatangazwa kuwa ni jukwaa la fikra huru?Rwakatare yuko huru kusema chochote against JF.
waifungie facebook kwanza[/wanauwezo huo?]