Kama ameifuatilia hii thread atakuwa anajutia kihere here chake! Am sure atakuwa ameshaambiwa kinachoendelea hapa. Am sorry for her! Masikini mama mchungaji wa watu anadhalilishwa hapa!!!
Mkuu karibu hapa JF, mimi naitwa only83..JF ni zaidi ya uijuavyo..hata mkuu wa kaya ni member hapa na uwa anafaidika na mawazo ya wanaJF.. wazo la kuwa JF ni ya CDM nadhani ni ule muendelezo wenu wa kutumia kufikiria kwa kutumia makalio...
Kama vijana na wanachama wa magamba hawajui umuhimu wa kutumia mitandao kama sehemu ya kujijenga msisingizie JF kuwa ni ya CDM..Hakuna uhusiano wa JF na CDM isipokuwa member wengi wa JF wanaweza kuwa ni wanachama wa CDM, japo sina uhakika sana na hili.
jamani mtaombewa muwe vipofu,!
"utaijua kweli nayo itakuweka huru" ...huyu mama ni mchungaji lakini hataki kujua na kuamini ukweli, ni nchi gani duniani iliwahi kuendelea bila kujua ukweli!!????what a priest cum legislator, how many teeth does this mama have?
sijawahi kumsoma 'rejao' positively kama leo! Big up mkuuKama ameifuatilia hii thread atakuwa anajutia kihere here chake! Am sure atakuwa ameshaambiwa kinachoendelea hapa. Am sorry for her! Masikini mama mchungaji wa watu anadhalilishwa hapa!!!
kweli ktk katiba mpya inabidi tufute ubunge wa viti maalum, Mbunge unaacha kujadili mgomo wa madaktari unapoteza muda kujadili nani mmiliki wa jf!! Baadae una sign unachukua 330,000 hata humuogopi Mungu?
mwizi mkubwa huyu ....ameibia watu wengi sana hasa maeneo akitumia mgonngo wa kanisa.....
mama mchungaji amejidhalilisha mwenyeweKama ameifuatilia hii thread atakuwa anajutia kihere here chake! Am sure atakuwa ameshaambiwa kinachoendelea hapa. Am sorry for her! Masikini mama mchungaji wa watu anadhalilishwa hapa!!!
Hivi huyu mama ana muwakilisha nani huko bungeni?
Sasa Rev.Rwaka kakosea nini,JF si inatangazwa kuwa ni jukwaa la fikra huru?Rwakatare yuko huru kusema chochote against JF.