Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
alikuwa anamwaga sana rushwa kwenye uchaguzi wa UWT viti maalum kabla ya kugombea kipindi hiki kupitia Mkoa wa Morogoro safari ya kwanza 2005 alikuwa wa kwanza wakamkata akiwa Dodoma Hotel alikuwa akigawa 60,000/ ili apigiwe kura ingawa alishinda walimuengua hadi kifo cha Salome Mbatia, nasikia ni Mkaguru aliyeolewa na Mhaya enzi hizoNapata taabu sana kuelewa kigezo kilichotumiwa na JK kumteua huyu mama kuwa mbunge! Hana mchango wo wote kwa wanawake, waumini wa dini yo yote wala jamii kwa ujumla. Kwa nini asishauriwe ajiuzulu ubunge na kuendelea na mambo yake?
ngoja tuusubiri uzi wake utakapoletwa hapa tuchangie leo ameniudhi kuhoji namna ya kuifunga JF