Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Napata taabu sana kuelewa kigezo kilichotumiwa na JK kumteua huyu mama kuwa mbunge! Hana mchango wo wote kwa wanawake, waumini wa dini yo yote wala jamii kwa ujumla. Kwa nini asishauriwe ajiuzulu ubunge na kuendelea na mambo yake?

JK aliwahi kuonjeshwa kitumbua cha mama Rwaka ndo akanogewa na kumteua si unajua HB anavyopenda ***jj***j!
 
NB: Kuna thread ilitokeza humu siku za hivi karibuni kuhusu huyu mama ikidai anadhulumu kitu huko Morogoro. pengine kakasirika!

ukweli daima unauma. Na bado "MBONA MTAKEREKA SANA"

Hivi hawa Wa-mama hakuna picha zao wakiwa wamesinzia Bungeni. Tafadhari kwa aliyenazo aziweke hewani hapa!!!!!!! labda watatuliza uvuvuzela wao.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kabla ya kuulizwa swali hilo zitto kabwe alipost kwa facebook kuwa swali namba 52 litakuwa linahoji mmiliki wa mtandao huu makini ,na hivi sasa kwa masikio yangu nimesikia likiulizwa ,binafsi nashindwa elewa wanawezaje kukazania uhuru wa watu kujieleza badala ya ishu kama ,MAWAZIRI WANAODAIWA KUOMBA RUSHW BAE,MGOMO MADAKTARI,BEI YA BIDHAA MUHIMU KUPAA,ukosefu ajira etc.

Wakuu wanajamii haya ni mawingu mvua bado. Kuna kitu kinatafutwa ili tuzibwe midomo. Kama Libya wananchi wa walishindwa kuvumilia na matendo ya serikali ya Gaddafi je kwa watanzania ambao Maisha bora kwa kila mtu tunayasikia kwa viongozi wetu wa Serikali tutafikia lin?
 
Lwakatare namwomba sana sana kama kaenda mjengoni afuate kilichompeleka huko yaani kulinda mali za serikali alizopora kwa kutumia mgongo wa st. marys international school zisirejeshe serikalini akazane kwa hilo.

Pili kama bado ana muda wa ziada ambao anautumia kutembelea jukwaa hili ambako anakutana huko na maudhi yaliyomfanya apeleke hoja kuhusu JF mjengoni namshauri bora angeautumia muda huo kuboresha uongozi na kiwango cha elimu katika shule za msingi za st. marys maana kiwango hasa kwa elimu ya msingi vimeshuka ni balaa.

Kwa sasa mtoto anayesoma st. marys tabata bima hafui dafu kwa mtoto anayesoma kayumba pale shule ya msingi tabata kwa dewji. Namtabiria maanguko makubwa sana katika shule zake muda si mrefu.
 
Huyu mama ameshindwa kulilisha na kulilinda kundi/kondoo wa Bwana,
kwa tamaa zake mwenyewe amejiingiza kwenye siasa.

Na badala ya kusema hoja za msingi kutoka kwa wananchi wake huko mrgr
anaanza na jf.

Haki ya nani hata viti maalum hawezi kupita tena,
kama mnabisha tupinge.
 
Jamani huyu mama ni kahaba asiye na mume hivyo kijana akiingia tu anga zake ana**kwa!

Lakini nijaribu kuwakumbuka member wetu waliopo mjengoni: Stiven Wasira. Bi. Kiroboto. Samuel 6. Mtoto wa Makamba. Kilanja mkuu wa nchi...........wengine wa thithiem ongeza wewe!!

Hivi mswada wa kuifuta JF itapita kweli?

isije akawa ndo mwenye id ya mama porojo humu
 
Na bado! Wajaribu kuifunga JF waijue nguvu ya umma wa JF!
Aunt rwaka umelikoroka nakwambia UTAJUTA MADHAMBI YAKO YOOOOTE TUNAYARUDISHA UTATUJUA SS NDIO WAMILIKI HALALI WA JF. MEMBERS PLSEASE KEEP IT UP
 
Napata taabu sana kuelewa kigezo kilichotumiwa na JK kumteua huyu mama kuwa mbunge! Hana mchango wo wote kwa wanawake, waumini wa dini yo yote wala jamii kwa ujumla. Kwa nini asishauriwe ajiuzulu ubunge na kuendelea na mambo yake?

Ni vuvuzela tu pale Bungeni anakula Posho, tena mtu kama huyu ni wa kwanza kuingia bungeni kila siku na kusaini ili apate posho.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
1 Co 16:22 "Mimi Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kama mtu ye yote hampendi Bwana Yesu Kristo na alaaniwe. "Maran-atha." Bwana wetu, yu aja!
Gal 1:8-9 "Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi huyo mtu na alaaniwe! Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu ye yote atawahubiria injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!"

Huyu mama anachanganya ya kaisari na ya Mungu.Na kuingia kwenye siasa ni ili mambo yake ya utapeli yafanikiwe.Atuachie JF Maana hapa kuna mchele pumba hakuna.

mwizi mkubwa huyu ....ameibia watu wengi sana hasa maeneo akitumia mgonngo wa kanisa.....

Unadhani ni yeye tu anayeteseka na uwepo wa JF? Avumilie kama wenzake akina Lowasa, JMK, Pinda,...Tanzania bila JF itakuwaje sijui.

huyu mama ana wasiwasi kila kona,si muoga wa JF tu,hata waumini wake huwa anawaogopa,kiasi cha kuona wanampa threat kwenye income yake,NAZANI HII NI KWA SABABU YEYE NI MFANYABISHARA KAMA VILE WALIVYO WANASIASA WENGINE
cheki hii

Mchungaji Rwakatare kuburuzwa kortini kwa udhalilishaji

MCHUNGAJI wa Kanisa la International Peacemaker, Alex Mavengero, anakusudia kumburuza kortini Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God la Mikocheni, Gertrude Lwakatare, kutokana na kutokubali kumuomba msamaha baada ya kumdhalilisha.

Akizungumza katika ofisi za Tanzania Daima jana, alisema tayari ameshawasiliana na mawakili wake na kesi hiyo inaweza kuanza siku yoyote.

Alisema kitendo cha Mchungaji Lwakatare kumtoa nje ya kanisa lake wakati misa ikiwa inaendelea ni cha udhalilishaji.
Akielezea tukio hilo, alidai Septemba 20 alipofika kwenye kanisa hilo kwa lengo la kusali kama waumini wengine, lakini wakati ibada ikiwa inaendelea Lwakatare alimwita mbele ya kanisa na kumtaka ajitambulishe kwa waumini kuwa yeye ni nani.

"Kwa kuwa sikuwa nikifikiria lolote baya kwa mama huyo, nilienda mbele na kushika kipaza sauti na kujitambulisha kwamba mimi ni mgeni kutoka Arusha, lakini baada ya kusema hivyo aliwaamuru walinzi wake wanikamate na kuniweka kizuizini kwa madai kwamba nimekuja kumuibia waumini wake mpaka pale alipomaliza ibada," alidai mchungaji huyo.
Source- Mchungaji Rwakatare kuburuzwa kortini kwa udhalilishaji

JAMANI KWA MIMI NIJUAVYO,NYUMBA ZA IBADA HAKUNA HAJA WA KUWEKA WALINZI KILA IDARA,WA KAZI GANI?
HUYU MAMA NI MWOGA,NA NAZANI AMEONA JF IKIWEZA KUJA LIPUA JAMBO LAKE SIKU ZIJAZO,SO ANATAKA ATUMIE CHEO CHAKE FOR PERSONAL INTEREST
 
Ile thread nyingine imeondolewa
nashauri muendelee maana sie wengine ilikuwa tupige bomb of a nuclear proportion

Mama ashukuru sana Mods

kwaherini
 
NANI MMILIKI WA ST MARRYS ,ST KUFELI,ST KUNUNUA MITIHANI NA ST MAPENZi??
Nani mmiliki wa ST MARRY'S ya kuchagua wanafunzi wa kufanya mtihani wa mwisho wa la saba na wale wasiofanya mtihani wanapewa nafasi za sekondary huko huko ST MARRY'S?
 
kama ana huwezo wa kufanya maombi na vipofu kupona, kuwapa watu kazi, wasioshika mimba wanashika, wachawi sijui wanaanguka, misukule inaonekana, sasa kashindwa nini kufanya maombi ya hii JF kufutika, mpaka kwenda kupeleka bungeni. kwali akili ku mkichwa.
 
Naomba tuanzishe thread/uzi mmoja wa kumnyoosha huyu mama,mimi najitolea kuanzisha uzi,mods naomba msaada wa kuanzisha thread na msiifute..nadhani ana tatizo la msingi sna.Badala aendelee kuwaibia washiriki wake pale kanisani kwake analeta porojo zisizo na msingi.Kama anataka tumuharibie hata hiyo biashara yake ya kanisani aseme tu.Sisi tunaweza sana kutoa habari.

huyu mama alifungua kituo kikubwa cha watoto yatima maeneo ya tabata bima mwaka jana kakifunga na watoto wamerudishwa makwao /walez akiwa ahidi misahada itawafuata walipo,wafanyakaz awakulipwa walidhulumiwa mishahara na nssf zao ,shule ya kenton tabata hivyo hivyo imefugwa walimu awakulipwa.huyu mama ni mchungaji mwizi na tapeli kwa kutumia biblia.
 
Uzuri kaipa promo JF nafarijika sana kuona hata huyo ajuza anapitia pitia JF kama guest
 
serikali yenu inaua watu hovyo......watanzania amkeni
 
Kwa nini kitakachofuata kiwe moto zaidi? Ina maana JF ni kwa ajili gani au wengine hatujui? Mimi ninanvyojua JF upo kwa ajili ya ku-interchange views, kutoa mawazo yenye tija kwa maendeleo ya taifa na mambo mengine kama hayo. So naamini uamuzi wowote wenye kutaka kufunga JF utakuwa umefanyiwa tafiti za kutosha na kujiridhisha kuwa mtandao huu hauna tija kwa maslahi ya taifa.

Yeah ni kweli ulivosema kuhusu JF.
Ila anacho maanisha ni kwamba ikifungwa,...itakayo fuata itakuwa bomba zaidi.
 
Kwa nini kitakachofuata kiwe moto zaidi? Ina maana JF ni kwa ajili gani au wengine hatujui? Mimi ninanvyojua JF upo kwa ajili ya ku-interchange views, kutoa mawazo yenye tija kwa maendeleo ya taifa na mambo mengine kama hayo. So naamini uamuzi wowote wenye kutaka kufunga JF utakuwa umefanyiwa tafiti za kutosha na kujiridhisha kuwa mtandao huu hauna tija kwa maslahi ya taifa.
nilikuwa natafuta id ya mama mheshimiwa,mchungaji, dr. Rwakatare...nimeshaipata!!
 
Back
Top Bottom