hili swala la umiliki mbona ilisha wekwa hadharani siku mingi na inajulikana nani hasa mmiliki wake au ndi wanataka tu wapoteze mda kujadili mambo mengine na kuacha mambo muhimu yanayo gusa taifa kwa ujumla.
kuna tetesi huyu mama aliwahi kuingizwa mkenge na mkongomani.
Stori ilikua ivi,,,,,mkongo alitonywa kuwa huyu mama huwa anawashobekea sana wenye pesa, ikabidi a-act ni muumini mzuri anayetoa fungu la 10. Mkongo akawa anatoa sio chin ya m3 ivi kama fungu la kumi, kwa zaidi ya miezi kadhaa.
Maza akapagawa, ikabidi amwite msaidizi wake ili apeleleze ni nani huyo anayeweza kutoa mafweza hayo, ikibidi aje offisini waonane uso kwa uso.
Zoezi likafanikiwa, mkongoman huyo ofisin. Maza akamuulize huwa anamadili gani anayomwingizia kipato kile?
Mkongo akamwambia mi ni mfanyabiashara wa madini. Maza akazidi kupagawa.
Akamwomba washirikiane, mkongo bila hiyana huku akichekelea kimoyomoyo akamkubalia, maza akaambiwa akachote mpunga wa zaidi ya 500m ili amkabidi akamnunulia madini.
Maza kwa kiwewe akaenda kuchukua na kumkabidhi zigo.
Mkongoman mpaka leo hajulikani alipo.
Hata mimi nimeshangaa kumbe huyu mchungaji naye anaijua JF! siajabu ana fake ID na kuchangia labda anachangia humu
haya swali lenyewe lisaulizwa na majibu yake ni JAMBO AU JAMIIFORUM NI MTANDAO ULIOSAJILIWA NJE YA NCHI,
Mama Lwakatare ningemfagilia kama angeomba serikali ijaribu kuiblock mitandao yote isiyokuwa na maadili mazuri kwa jamii kwa mfano www.worldsex.com na kadhalika lakini sio JF. Mtandao ulioko kwa ajili ya kuwafungua macho, kuwapa habari, kuwaelimisha, kuwaburudisha, kuwajulisha wanajamii kuhusu haki zao, kubadilishana mawazo, kushauriana, kukosoana na mengine mengi kwa manufaa ya Taifa letu. Isitoshe JF ni lazima ujisajili na umri unazingatiwa kufuatana na aina ya Forum. Sio kuingia kirahisi kama hizo worldsex.com n.k.
...anaogopa kuwa jamiiforums itakuja kutoa siri za mganga anayempa dawa za kudondoshea watu kwenye mimbari yake. Hamna ukristo pale,full-uchawi!!