Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Kumtukana Rais nje ya mipaka ya nchi ni kulitukana Taifa, kuungana na wahujumu wa rasilimali zetu (ACACIA) na kudidimiza juhudi za mkuu wa nchi wa kuzipigania ni swala lisovumilika, alivuka mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi tuhuma zako ni tofauti na tuhuma zinazomfikisha mahakamani,infact.Nashindwa kuelewa point yako ni ipi maana ML ndiyo inayomsotesha,nashahuri tu ukusanye taharifa husika na sahihi kisha ujadili nasivyo kujikita katika hisia binafsi au unavyojisikia maana huo ni mwenendo wa wajinga-wapumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yapo zaidi ya haya, maana hata rangi ya ngozi yako tu, inaweza kukupeleka Lupango. Hii ni rangi tu wala si kosa lako. Hivyo msifikiri walioendelea hawana magereza! Vitendo vibaya alivyofanya Kabendera, ksma ni kwenye nchi hizo - utaishia Guantanamo
Kwani nako wanabambikwa kesi,watawala kuwakomoa watawaliwa
 
Wacha kamba wewe, wewe unafahamu zaidi ya mwenyewe Kabendera? Serikali ina taasisi ya kuchunguza mambo mengi sana sio mtu moja tu anaamua. Unafahamu jinsi Serikali zinavyofanya kazi zake?
Uko usingizini
 
ameshindanaje na mamlaka ? si muweke wazi tujue au ametoa habari msiozopenda?
Hayo mambo ya laana kuna watu hawayafikirii aise! Muhimu ni kutii mamlaka na kujiepusha kushindania na wenye mamlaka vinginevyo mnyonge utaishia kuumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama jibu unalo halafu unauliza tena

Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo mnataka waandishi wote Tanzania watoe habari za kuwafurahisha tu na si tofauti na hapo. hivi kweli mbona mnajitengenezea hukumu na laana??? afu mnasema kuna uhuru wa habari
 
ameshindanaje na mamlaka ? si muweke wazi tujue au ametoa habari msiozopenda?
Hayo mambo ya laana kuna watu hawayafikirii aise! Muhimu ni kutii mamlaka na kujiepusha kushindania na wenye mamlaka vinginevyo mnyonge utaishia kuumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo

Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
kosa gani hilo la kunyongwa si uliseme tulijue
 
Wadau

Mtakumbuka Wanaharakati na Wanasiasa wakiongozwa na Chadema waliendesha kampeni kubwa Sana za kutaka Kabendera aachiwe.

Nimeshangaa sana leo kuona Bi Mkubwa analalamika kukosa matunzo kwani mwanae yupo ndani na anaomba eti Mheshimiwa Rais amsamehe mwanae.

Nilitarajia kuwa nguvu kubwa iliyotumika hapo awali ingetumika sasa kukusanya Fedha za kutosha kumsaidia Bi Mkubwa huyo aweze kumudu maisha yake.

Huu ndiyo wakati wa Kuthibitisha Upendo wenu kwa mama wa Kabendera.

Vinginevyo nitaamini kuwa mliamua kumtumia huyo Mama na mwanawe kwa maslahi yenu ya Kisiasa.

Kwa Mama Kabendera:
Wanaharakati na Wanasiasa wamekutelekeza na sasa unarudi kuomba msaada kwa Baba uliyeambiwa na kuaminishwa kuwa Ni mtu mbaya sana?

Wako wapi wakina Zitto Kabwe, Maria Sarungi, Fatma Karume na wanaharakati wengine kibao waliokuwa nyuma ya kijana wako?

Hata hivyo naamini umepata funzo kubwa sana maishani sio wewe tu hata mwanao.

Utii wa Sheria bila Shuruti na Unyenyekevu ndio silaha pekee popote pale Duniani kuliko Kiburi na ujeuri.

Nakushauri uanze kwa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais kwa kumchafua yeye na Serikali na pia ukiri, ujutie na utubu hadharani kwa niaba yako na mwanao makosa mliyofanya.

Pole Sana
 
Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo

Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna madikteta wengi sana,wengine wanaonyesha wazi hata kwenye hii forum,kila mwanzo una mwisho wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maisha bana tuishie tuu kwa kufuata Sheria Kuna watu wanajifanya wao n sawa na kina mbowe au zito au wananafasi zao kisiasa na huwez jua nyuma ya picha unayoiona Kuna nn unakuta mtu yupo zake mtaan kisa kuwa na kigar au kisimu Cha kupangusa anamkejeli mtanzania namba Moja mie huwa nawashangaa Sana Bora uingie field upambane utoke ule vyako
 
Back
Top Bottom