Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Kwani nako wanabambikwa kesi,watawala kuwakomoa watawaliwa
Huko wanakusimasha hata njiani au wanabisha hodi nyumbani kwako - una weka mikono juu kujisalimisha, hapo hapo wanakutwanga risasi. Visa hivyo ni vingi kuliko. Na hasa kama we ni mweusi, muspaniola au mwarabu. Na hakuna kitakacho watokea.
Watu wengi wamekufa au kupotezwa hivi hivi. Usisikie ni hatare!
 
Erythrocyte,
Lafudhi ya mama Kabendera siyo ya huko! Huyu anaweza akawa siyo mama yake mzazi! Na fikiri kuna usanii hapa umetumika! Waulize wengine wamsikilize, na fikiri ana act! Maigizo.
 
LEO NDIYO NIMEAMINI WAANDISHI WA HABARI BONGO NI VITUKO...YAANI KIKONGWE WA 81 NAYE ANAITISHA PRESS conference NANYI haraka mnamkimbizia mic , Mimi siyo mwana habari ila nadhani kuna pahala mnafeli sanaaaa
 
Lafudhi ya mama Kabendera siyo ya huko! Huyu anaweza akawa siyo mama yake mzazi! Na fikiri kuna usanii hapa umetumika! Waulize wengine wamsikilize, na fikiri ana act! Maigizo.

Hoja muflisi hii, inawezekana huyu Bibi ni msomi aliyestaafu baada ya kuzunguka maeneo kadhaa nchini au hakuishi kijijini 'kwao' kama unavyofikiri ndiyo maana unaona lafudhi yake si kama yako au unayoifahamu ya wazee wa umri huo ambao hawakupata kutoka nje ya vijiji au mikoa yao.
 
Hahaha watawala wanafuraahi wakiona video kama hizi.
Wanaona malengo yao ya kuabudiwa yanaenda kutimia.
 
Back
Top Bottom