M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,090
Hilo ndilo ttzo la kujifanya mjuzi wa kila jamboumeongea vyema mzee
Huko wanakusimasha hata njiani au wanabisha hodi nyumbani kwako - una weka mikono juu kujisalimisha, hapo hapo wanakutwanga risasi. Visa hivyo ni vingi kuliko. Na hasa kama we ni mweusi, muspaniola au mwarabu. Na hakuna kitakacho watokea.Kwani nako wanabambikwa kesi,watawala kuwakomoa watawaliwa
Siasa mchezo mchafu lovie
Ukiamua kujihusisha na wanasiasa elewa siku za kuishi kwa amani zinahesabika, mwanasiasa haaminiki na hana urafiki kabisa unless anafaidika ma wewe,!Siasa mchezo mchafu lovie
Uoga wako usiambukize wengineNimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu
waache wanapenda kufuata mikumbo
Lafudhi ya mama Kabendera siyo ya huko! Huyu anaweza akawa siyo mama yake mzazi! Na fikiri kuna usanii hapa umetumika! Waulize wengine wamsikilize, na fikiri ana act! Maigizo.
jenga hoja kwa kujibu hilo swali
mpitie mamako aliyekupelekà kujifunza uchawi badala ya elimu ambayo ingesafisha ubongo wako mchafu mithili ya kibwengu.mwambie mama yako ntampitia badae tukawange
Mimi ni mempampu liniMnafika kama wewe! Si ndiyo nyinyi mlikuwa mnampampu huyo Kabendera mbona sasa hata huyo mama yake hammsaidii. Nyie ni wanafiki sana!!
Kumbe kosa ni kuto kutii mamlaka na sio uhujumu uchumi?Nimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu