eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,768
- 14,054
kwelii mkuu ...... mm binafsi nikiangalia chain iliyoko nyuma yangu huwa naishia kuwa mpole tuu forthe sake of watu walioko nyuma yangu
Hiyo inaitwa hekima na utambuzi. Hata mimi naogopa kuchepuka kwa kuwa naogopa nikiukwaa itakuwa shida kwa wategemezi.