The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
This is ridiculous!
Umepotelea wapi?
This is ridiculous!
This is ridiculous!
jama jama ......sasa mnataka huyo jamaa amkomeshe vipi mama yake?
ahame nyumba tu amwache mama na shughuli zake kaa hawezi aibu hiyo.
not fair kabisa lakini inabidi wakati mwingine tuwe mbogo namweleza mama kwamba nakuheshimu na wala sitaki kuingilia uhuru wako ila tafuta wazee wenzio ngoma inabaki kwa huyu mshikaji wangu lazima tugombane kwanza
bora kukikucha ujue unaemwambia "shikamoo baba" kweli anastahili hiyo heshima...sasa huyu kijana amsalimie kijana mwenzie mambo, za asubuhi au shikamoo baba?...bwana wee huyu mama hapana.
ni aibu sio kidogo....hata hivyo huyu mkaka kamvumilia sana huyo frnd wake.
Dearest heshima haijegwi bar ningemwambia"mpendwa mama yangu mzazi maana sina mama mwingine zaidi yako!naomba ww na mshikaji muhame nyumba muende kokote mnakotaka nyie lkn mm kukaa hapa na aibu hii siwezi,wakati huo ningewaitia wazazi wa huyu jamaa ili waje wamtambue mkwe wao mpya.kama hawatanielewa kwa Amani basi kitakachofuata hapo tusiulizane.
huyu kijana alitakiwa aweze kudeal na hili jambo kabla halijafikia hapa lilipo.
hakuona hata dalili? kipofu?
Kwa wengine hata mauaji yangetokea!Na kweli ingekuwa mwingine kama navyowajua zingekuwa zimeishatembea ngumi tayari
Hapo kwa kweli ni pagumu kutoa ushauri, jamaa inabidi awe mpole na kuacha mambo yaende kama yalivyo..............lakini kwa wengine unaweza kuua mtu.
Aongee nao wote! then if is not working theeeen! here we comeee!!!!Namtolea uvivu mshikaji tu! :boink::boink::boink:
nhhhhh juice ya pili pili na biskuti za chuma hapo
Hamna tatizo - Mama naye ni mwanadamu kama wengine na anayo mahitaji ya mwili - Mwambie huyo ambaye Mama yake analiwa akubali hali halisi and "obladi oblada - life goes on"!