The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
shida iko wapi, kwani wote si ni watu wazima bwana!
Watu wazima sawa but a self respect of oneself is required as well
shida iko wapi, kwani wote si ni watu wazima bwana!
Lakini mwalimu kumbuka kuna watu wazima hovyoo!shida iko wapi, kwani wote si ni watu wazima bwana!
Mtandao wa kuongeza ukubwa wa familia hizo..........!who????? me??? mtandao gani unaoungelea hapa?? mtandao wa internet au wa simu???:kev:
Mwambie awe na adabu kwa baba yake wa kufikia,waswahili wanasema "avaaye khanga ya mama, ndiye baba"inabidi akubali tu,huyo ndiye baba yake!
Gaijin....kweli frnd wako atembee na babalo?...hapana kabisa.
This is way too much naona wameamua kuvunja ukimya na kuamua kuifanya iwe open conduct their is a need for a long chat with such kind of person and i mean both of them, MWISHO WA UBAYA AIBU
wadogo zako unawaacha au unaondoka nao???
Na mm namtokea Mama yake Mzazi kwa udi na uvumba... Mpaka kieleweke,jamaa akinijia juu namtolea uvivu...
Hahaha mi enzi hizo best yangu akitaka kumega sista ilikua balaa sasa hii ya kumega mama dah cjui ingekuwaje!not fair kabisa lakini inabidi wakati mwingine tuwe mbogo namweleza mama kwamba nakuheshimu na wala sitaki kuingilia uhuru wako ila tafuta wazee wenzio ngoma inabaki kwa huyu mshikaji wangu lazima tugombane kwanza
Yaani hili halikubaliki kabisa ndani ya ISCNaitisha kikao cha ISC kujadili hili jambo.....for sure haikubaliki...
Lakini mwalimu kumbuka kuna watu wazima hovyoo!
Gaijin....kweli frnd wako atembee na babalo?...hapana kabisa.
lawama zangu zote nazishusha kwa mama, cjui kwann wamam wengine wanakosa adabu kiac hiki...kudhalilishana tu.
Kile kitendo cha wao kuanza hii mambo kwa kujificha ni hali wanayofanya c halali so ni makosa! Jamaa kabla hajawavaa wenyewe aongee na wakubwa zake kama wajomba baba wakubwa au hata mashangazi!waaacheni wachavushane bana...wote wana akili timamu wanajua wanachofanya...juu ya nini???
Yaani hili halikubaliki kabisa ndani ya ISC