chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
habari zenu wadau,
kwanza napenda kusema kile kilichopo kumutima gwange (moyoni mwangu) kwamba nimemmiss saaana Mzee Mwanakijiji pamoja na hadithi zake tamu tamu.
nia na madhumuni ya keweka hii post ni kwamba, nina rafiki yangu mmoja (mkaka) anaishi na mama yake pamoja na wadogo zake maana dingi alitangulia mbele ya haki miaka kadhaa iliyopita(rip).
Katika suala zima la uchumi familia yao iko vizuri sana, sasa kuna siku moja huyu rafiki yangu alikwenda na rafiki yake(mkaka pia) kwao akamtambulisha kwa mama na wadogo zake fresh. Yule kijana(aliyetambuliswa) akawa anakwenda home kwao mshkaji hata kama hayupo mara ghafla yakaanza mahusiano ya siri kati ya yule kijana na mama wa rafiki yake, sasa hivi wamenogewa hakuna siri tena mambo hadharani outing za kufa mtu.
sasa huyu rafiki yangu kanijia ananiambia kuwa anaona aibu sana, maana watu wanasema vibaya mno. anashindwa awaambie (mama yake + mshkaji wake)??? au awaache tu waendelee??
jamani wadau naombeni mnisaidie nimshaurije huyu rafiki yangu.🤔
kwanza napenda kusema kile kilichopo kumutima gwange (moyoni mwangu) kwamba nimemmiss saaana Mzee Mwanakijiji pamoja na hadithi zake tamu tamu.
nia na madhumuni ya keweka hii post ni kwamba, nina rafiki yangu mmoja (mkaka) anaishi na mama yake pamoja na wadogo zake maana dingi alitangulia mbele ya haki miaka kadhaa iliyopita(rip).
Katika suala zima la uchumi familia yao iko vizuri sana, sasa kuna siku moja huyu rafiki yangu alikwenda na rafiki yake(mkaka pia) kwao akamtambulisha kwa mama na wadogo zake fresh. Yule kijana(aliyetambuliswa) akawa anakwenda home kwao mshkaji hata kama hayupo mara ghafla yakaanza mahusiano ya siri kati ya yule kijana na mama wa rafiki yake, sasa hivi wamenogewa hakuna siri tena mambo hadharani outing za kufa mtu.
sasa huyu rafiki yangu kanijia ananiambia kuwa anaona aibu sana, maana watu wanasema vibaya mno. anashindwa awaambie (mama yake + mshkaji wake)??? au awaache tu waendelee??
jamani wadau naombeni mnisaidie nimshaurije huyu rafiki yangu.🤔