Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,686
- 1,278
ugumu hapo ikiwa mama alichuma na marehemu mume wake, kuondoka kwenye hiyo nyumba itakuwa ngumu, bac na kijana aondoke akkanze maisha mapya.
Inaelekea kijana bado kula kulala hawezi kuhama home, na pia hawezi kuml
koromea mama yake- na akisubutu kumuuliza rafiki yake habari zitafika kwa mama, yuko kwenye wakati mgumu sana ushauri wangu ni awe mpole tu; kazi itakuja pale anamkuta mshkaji yupo na mama atamwambia mama shikamoo, mshkaji atampa salamu gani?