Shanny
Senior Member
- Apr 29, 2011
- 180
- 50
Hapa ndipo ninaposhindwa kuielewa akili za baadhi ya binadamu wenzangu. Mlikutana kwa ajili ya mapenzi,bahati mbaya hayajazaa matunda. Ni bahati Mungu amekuonyesha mambo ambayo hayatakufaa katika future yako ukakubali ukaacha. Dhahiri unaona ukaribu wako na mtu fulani unasababishwa na kitu fulani eti unajiuliza kama kuna mapenzi ya dhati hapo. Kuishi kwa principles katika maisha ni amani kubwa sana watu wengi hawajui. Usipokuwa na msimamo utayumba kila upande. Tumekutana kwa sababu ya mapenzi basi tutaachana kwa sababu hiyohiyo and after that do not expect nijuhusishe na chochote from your end. Nakata nyaya zote so as to live happy life. Kikubwa ni kusamehe baaaaasi. Sasa hapo mkuu familia haikupendi but pesa yako ndo inapendwa na hiyo imetokana na wewe kutokua na principles za maisha yako kuendelea kuprovide sehemu isiyokuhusu. Baadaye mnalalamika wanawake ndo wanakula pesa zenuwakati hakuna anayekuomba unatoa mwenyewe. Kua na msimamo mkuu, hapo unaelewa cha kufanya but the problem is hauko na msimamo.