Mama mkwe ananing'angania

Mama mkwe ananing'angania

Upo sahihi lakini sikuwa na maana ya kuwadharau watu wa aina hiyo ila iliniuma kwa kunidharirisha mimi kwanza huyo jamaa mwenyewe ni bubu alafu wkt mi nipo chuoni alikuwa mtu wangu sana ambae namwagiza mambo yangu mengi tu! Kuhusu mamamkwe nami nilikuwa na mtazamo kama wako labda huenda anataka kulipa fadhila kwani bado mpaka sasa nawatumia pesa pindi waniombapo nami huwa sina shida nawapa! Ndiyo hapo sasa nikizingatia niliyotendwa na binti yake nashndwa kutoa maamuzi ya kuoa mdogo mtu!

Daah ila hapo kwa mdogo wake mm naona hapafai bana kwa sababu huyo mkubwa wake lazima atawaletea zengwe tu iwe isiwe...
 
Nakushauri achana kabisa na hio familia.Mamamkwe anakubebembeleza uchukue mdogo wake kwa kua hua unaprovide vijicent kwenye hio familia, anachosema mamamkwe kua huyo bint anakupenda ni uongo, angekua anakupenda asingekua anakutumia hizo picha alizopiga na wanaume wake huko kenya.
 
Hivi wewe umesoma chuo kipi? Mwanafunzi wa chuo ndio anaandika namna hii?

Hicho ni chuo cha makanjanja na wazee wako walipoteza wakati na fedha zao bure kukupa elimu ambayo huwezi kuitumia hata kwa kuandika sawa.

Kwa hiyo elimu yako inapimwa kwa uwezo wa kuandika?Kipi hakijaeleweka hapo?Au we ni mwalimu wa somo la mwandiko umekuja kunisahihisha upo kwa ajili ya kukagua maandishi na si kutoa ushauri?Nakuomba utoe ushauri wako kwa kile ulichoelewa na si vinginevyo! Au we ni MMBURU mwenye tabia hiyo nloandika. Hapo juu?
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tulisoma wote chuoni na tulipendana sana kiasi kwamba nilikuwa namgaramia kwa kiasi kikubwa na kuna kipindi aliumwa akalazwa hospitalini mimi nikawa siattend vipindi kwa ajili ya kumuhudumia yeye,Zaidi nilishaenda nae kwao japo sikwenda kwa utambulisho rasmi lakini wazazi wake walielewa kuwa mimi ni mtarajiwa kwa binti yao!Wazazi wake walitokea kunipenda saana hasa mama mkwe ndiyo alikuwa ananipenda mpaka naogopa yani nikienda kwao napokelewa kama Rais vile sasa sijui ni kwa sababu nilikuwa naprovide mahela sana ila nachojua nilikuwa napendwa na hao wazazi! Tuliporejea chuoni kwa masomo mwenzangu tabia yake ikaanza kubadilika akawa anaondoka chuoni sometimes haniagi na nikimpigia simu hapokei!mi nikawa nashinda kumtafuta kila kona ya hosteli bila kupata!Nikaja kuambiwa kuwa jamaa yangu wa karibu ambaye ni mfanya biashara alikuwa akitoka naye! Mi sikuamini!Hali iliendelea hivyo mpaka mimi nikaja kuhitimu masomo yeye nikamwacha akimalizia mwaka wake wa mwisho nilipoondoka mambo kwake yakazidi kuwa balaa alikuwa anatembea na yeyote atakayemtangulizia pesa!Nilikuja kusikia kuwa ametembea na mfagia vyoo vya hosteli akampa 60elfu! Hapo mi niliamua kumpiga chini baada ya kugundua ukweli wa mambo anayoyafanya! Sasa wazazi wake bado naendelea kuwa na mahusiano nao mazuri sometimes nawatumia pesa za matumizi licha ya kwamba wanajua binti yao sipo naye ktk mahusiano ya kimapenzi zaidi ya mawasiliano na tunaitana kaka na dada! Sasa Mama yake alinipigia simu akaniuliza "endapo binti yake atakuwa amebadilika kitabia na akataka turudiane Je niko tayari?" Mi nimemjibu sipo tayari,Basi tokea hapo yule mama ananing'ang'aniza akanambia nimwoe hata mdogo wake na yule mdada niliyekuwa naye! Sasa wadau naomba ushauri nifanyaje manake napatwa na kigugumizi manake hata huyo mdogo wake ni mzuri sana wa umbo ila sijajua tabia yake!Na je ntakuwa sahihi endapo nitaoa mdogo mtu!?

Yani hata we mwenyewe nahisi kama hujielewi, na usipoangalia utaweza jwrli kuishia kumuoa huyo mdogo wake au worse zaidi kumrudia huyo dada mtu, ndoa si lelema ndugu na ukichemsha sasahv jiandae kuishi kwa majuto for the rest of ur life ushauri kua kwanza kiakili na kata mawasiliano na huo ukoo wa huyo
dada anza upya
 
Kwa hiyo elimu yako inapimwa kwa uwezo wa kuandika?Kipi hakijaeleweka hapo?Au we ni mwalimu wa somo la mwandiko umekuja kunisahihisha upo kwa ajili ya kukagua maandishi na si kutoa ushauri?Nakuomba utoe ushauri wako kwa kile ulichoelewa na si vinginevyo! Au we ni MMBURU mwenye tabia hiyo nloandika. Hapo juu?

Ushauri wangu wa kwanza; Andika kama mwanazuoni aandikavyo kama unavyojidai kujisifu humu eti mlikutana chuo. Anzia kwa ku edit maandiko yako yasomeke, kama unajuwa maana ya ku edit.

Maandiko yako na msomi wa chuo ni vitu viwili tofauti. Kama kweli u mwanachuo basi nawahurumia wazee wako waliokugharamia, hukusoma ipasavyo.
 
Mama mkweeee hatareeee, kajitoa kweli fahamu yaani yuko radhi mabinti wake kuvurugwa na mtu mmoja😛hoto:..Na wewe naona ushaingia tamaa kwa mdogo wake lakini ipo pouwaaa kila la kheri kaoe sema pimeni afya kwanza ...!¬
 
hadi maza anakupa bonus uoe mdogo mtu?
kweli mtoto wa kike mtaji....
 
We mwenyewe huna akili ya kufikiria?

Unadhani ni sawa kupewa mdogo mtu?
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tulisoma wote chuoni na tulipendana sana kiasi kwamba nilikuwa namgaramia kwa kiasi kikubwa na kuna kipindi aliumwa akalazwa hospitalini mimi nikawa siattend vipindi kwa ajili ya kumuhudumia yeye,Zaidi nilishaenda nae kwao japo sikwenda kwa utambulisho rasmi lakini wazazi wake walielewa kuwa mimi ni mtarajiwa kwa binti yao!Wazazi wake walitokea kunipenda saana hasa mama mkwe ndiyo alikuwa ananipenda mpaka naogopa yani nikienda kwao napokelewa kama Rais vile sasa sijui ni kwa sababu nilikuwa naprovide mahela sana ila nachojua nilikuwa napendwa na hao wazazi! Tuliporejea chuoni kwa masomo mwenzangu tabia yake ikaanza kubadilika akawa anaondoka chuoni sometimes haniagi na nikimpigia simu hapokei!mi nikawa nashinda kumtafuta kila kona ya hosteli bila kupata!Nikaja kuambiwa kuwa jamaa yangu wa karibu ambaye ni mfanya biashara alikuwa akitoka naye! Mi sikuamini!Hali iliendelea hivyo mpaka mimi nikaja kuhitimu masomo yeye nikamwacha akimalizia mwaka wake wa mwisho nilipoondoka mambo kwake yakazidi kuwa balaa alikuwa anatembea na yeyote atakayemtangulizia pesa!Nilikuja kusikia kuwa ametembea na mfagia vyoo vya hosteli akampa 60elfu! Hapo mi niliamua kumpiga chini baada ya kugundua ukweli wa mambo anayoyafanya! Sasa wazazi wake bado naendelea kuwa na mahusiano nao mazuri sometimes nawatumia pesa za matumizi licha ya kwamba wanajua binti yao sipo naye ktk mahusiano ya kimapenzi zaidi ya mawasiliano na tunaitana kaka na dada! Sasa Mama yake alinipigia simu akaniuliza "endapo binti yake atakuwa amebadilika kitabia na akataka turudiane Je niko tayari?" Mi nimemjibu sipo tayari,Basi tokea hapo yule mama ananing'ang'aniza akanambia nimwoe hata mdogo wake na yule mdada niliyekuwa naye! Sasa wadau naomba ushauri nifanyaje manake napatwa na kigugumizi manake hata huyo mdogo wake ni mzuri sana wa umbo ila sijajua tabia yake!Na je ntakuwa sahihi endapo nitaoa mdogo mtu!?
Hata Kama huyo mama alikupenda sana kama mkewe mtarajiwa...napata mashaka anapomkuwadia bintiye mwingine. KUNA OBJECTIVES anataka ku achieve take care Kijana. Nibora angeishia kukuomba urudiane Ma huyo ex wako kuliko anachofanya sasa! Hakuna kupendwa hapo ndugu, wameona huna mkono wa birika sasa inakuwa tabu kupoteza
 
Nilikuwa na mpenzi wangu tulisoma wote chuoni na tulipendana sana kiasi kwamba nilikuwa namgaramia kwa kiasi kikubwa na kuna kipindi aliumwa akalazwa hospitalini mimi nikawa siattend vipindi kwa ajili ya kumuhudumia yeye,Zaidi nilishaenda nae kwao japo sikwenda kwa utambulisho rasmi lakini wazazi wake walielewa kuwa mimi ni mtarajiwa kwa binti yao!Wazazi wake walitokea kunipenda saana hasa mama mkwe ndiyo alikuwa ananipenda mpaka naogopa yani nikienda kwao napokelewa kama Rais vile sasa sijui ni kwa sababu nilikuwa naprovide mahela sana ila nachojua nilikuwa napendwa na hao wazazi! Tuliporejea chuoni kwa masomo mwenzangu tabia yake ikaanza kubadilika akawa anaondoka chuoni sometimes haniagi na nikimpigia simu hapokei!mi nikawa nashinda kumtafuta kila kona ya hosteli bila kupata!Nikaja kuambiwa kuwa jamaa yangu wa karibu ambaye ni mfanya biashara alikuwa akitoka naye! Mi sikuamini!Hali iliendelea hivyo mpaka mimi nikaja kuhitimu masomo yeye nikamwacha akimalizia mwaka wake wa mwisho nilipoondoka mambo kwake yakazidi kuwa balaa alikuwa anatembea na yeyote atakayemtangulizia pesa!Nilikuja kusikia kuwa ametembea na mfagia vyoo vya hosteli akampa 60elfu! Hapo mi niliamua kumpiga chini baada ya kugundua ukweli wa mambo anayoyafanya! Sasa wazazi wake bado naendelea kuwa na mahusiano nao mazuri sometimes nawatumia pesa za matumizi licha ya kwamba wanajua binti yao sipo naye ktk mahusiano ya kimapenzi zaidi ya mawasiliano na tunaitana kaka na dada! Sasa Mama yake alinipigia simu akaniuliza "endapo binti yake atakuwa amebadilika kitabia na akataka turudiane Je niko tayari?" Mi nimemjibu sipo tayari,Basi tokea hapo yule mama ananing'ang'aniza akanambia nimwoe hata mdogo wake na yule mdada niliyekuwa naye! Sasa wadau naomba ushauri nifanyaje manake napatwa na kigugumizi manake hata huyo mdogo wake ni mzuri sana wa umbo ila sijajua tabia yake!Na je ntakuwa sahihi endapo nitaoa mdogo mtu!?
Hata Kama huyo mama alikupenda sana kama mkewe mtarajiwa...napata mashaka anapomkuwadia bintiye mwingine. KUNA OBJECTIVES anataka ku achieve take care Kijana. Nibora angeishia kukuomba urudiane Ma huyo ex wako kuliko anachofanya sasa! Hakuna kupendwa hapo ndugu, wameona huna mkono wa birika sasa inakuwa tabu kupoteza resource Kama wewe. Achana huko Kwa mdogo mtu Kama Utaamua kurudiana na huyo wa awali ni uhuru wako. Kumbuka kuna alarm haPo
 
Nashukuru ndugu yangu manake wanataka niende mwezi huu eti nikawasalimie manake ni mda mrefu hawajaniona! Na mama mtu ananambia eti huyo mwanae ananipenda sana! Kinachonikatisha tamaa ni kabila lao na historia niliyoipata juu ya kabila lao! Wao ni" WAMBURU" kwao ni Karatu na mi nipo DSM ndiyo makazi yangu!Inakuaje hapo ndugu yangu!?
Hukujua Kama bi Desii wakati mnaanza ku date?
Hata hivyo Kabila lake sioni kama linamaana as mapenzi hayana Kabila, rangi, kimo, uwezo, umri wala saizi ya umbo!
 
Hili litakuwalimesoma boys, achana na hiyo familia kabisa.
 
Kwa hiyo elimu yako inapimwa kwa uwezo wa kuandika?Kipi hakijaeleweka hapo?Au we ni mwalimu wa somo la mwandiko umekuja kunisahihisha upo kwa ajili ya kukagua maandishi na si kutoa ushauri?Nakuomba utoe ushauri wako kwa kile ulichoelewa na si vinginevyo! Au we ni MMBURU mwenye tabia hiyo nloandika. Hapo juu?

Nna-uhakika hujawahi kuusikia msemo "Pen is mightier than the sword".

Utafute kwa kutumia google uujuwe maana yake ni nini, itakusaidia.

Faidika na Darsa la FaizaFoxy.
 
Hujitambui kimapenzi,hujui hisia zako zikoje,

Fanya maamuzi uachane na hiyo familia,Ka ukijua huruma huzaa dhambi sasa kazi kwako.
 
Back
Top Bottom