Mama katangaza mchakato wa katiba mpya; Tanzania yote ina furaha

Anapoteza muda SGR na Bwawa la umeme vinamsumbiria, afanye mambo kwa focus issue za katiba hawezi anasumbuka bure
Kuana machawa wanamshauri ili kuzika legacy ya marehemu atangaze katiba .sasa hela italiwa na hiyo katiba hataipatikana tusubiri tuone jinsi atakvyotawanya kodi zetu
 
CCM hawana nia ya dhati na serikali tatu, huo mchakato utakuwa uchwara kama yalivyo maridhiano na walamba asali wa saccos.
Watu wataka kupiga hizo posho za huo mchakato, halafu wasusie vikao mwishoni. Hizo bajeti za huo mchakato ni bora mmalizie miradi ya kimkakati inayosuasua.
 
"Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato"
Kama nchi inataka iwe na katiba iliyo bora itakayokaa hata miaka 50, basi bunge la katiba liundwe liwe na watu mchanganyiko, kutoka makundi mbalimbali, kusema kuwatumia wanasiasa pekee haitapatikana katiba zuri yenye kungusa maeneo mbalimbali ya raia.
Mchanganyiko lazima uwepo Mama atateua wawakilishi wa makundi tofauti wenye uzalendo.
 
Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.
Aliyevuruga rasimu ya Warioba ni Mkwere na genge lake this time awapishe wengine
 
Ni furaha kila kona wapinzani wamejaa furaha CCM wamejaa furaha watanzania wote tumejaa furaha. Mama katangaza mchakato wa katiba mpya uanze. Aliyenuna sisi hatuna cha kumsaidia.

Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.

View attachment 2613424
Na sasa tupate KATIBA ya wananchi na sio ya wana siasa.Ikiwa ya wananchi Ujue Taifa linakwenda kupaa,kinyume na hapo ni sifuri.
 
Ni furaha kila kona wapinzani wamejaa furaha CCM wamejaa furaha watanzania wote tumejaa furaha. Mama katangaza mchakato wa katiba mpya uanze. Aliyenuna sisi hatuna cha kumsaidia.

Mwisho wa siku wawakilishi wetu bungeni watatupatia katiba iliyo bora. Hatutegemei wasiotutakia mema nchi yetu wavuruge mchakato.

View attachment 2613424
MAMA ni Shujaa kwani Wanaume waliomtangulia Walishindwa yupo mmoja alianzisha mchakato lakini wakina Wassira Wakampotosha yupo mwingine yeye ndio Hakuitaka kabisa KATIBA MPYA
 
Una uhakika kupata katiba itakayopunguza madaraka ya viongozi kwa kutumia wanaotafuta uongozi huo huo? Mfano tunatumai kupata katiba ambayo itapunguza madaraka ya Rais! Je, Rais atakubali kusaini katiba itakayotaka Rais ashitakiwe kwa makosa aliyoyatenda akiwa Ofisini? Je, wabunge watakubali kipengele cha Waziri asiwe mbunge wakati wao wanagombea Ubunge ili wawe mawaziri? Tafakari kuhusu uchaguzi huru iwapo tunasema wabunge waliingia kwa kupitia uchaguzi Usio huru na haki?

Me nafikiri kutakuwa na Bunge la Katiba tofauti na Bunge hili la kawaida!! Maana hata Rasimu ya Katibu ya Warioba nayo walikaa kama bunge kwa kuwa na wawakilishi kutoka sehemu tofauti tofauti ila kufanya maamuzi!!
 
Uongozi wa mama utakumbukwa daima ameonyesha ukomavu sana kisiasa. 2025 hakuna mpinzani, tumeshaumizwa Sana na siasa za kiimla
 
Me nafikiri kutakuwa na Bunge la Katiba tofauti na Bunge hili la kawaida!! Maana hata Rasimu ya Katibu ya Warioba nayo walikaa kama bunge kwa kuwa na wawakilishi kutoka sehemu tofauti tofauti ila kufanya maamuzi!!
Neutrality inatakiwa ujue. Je utaipataje kama hilo Bunge lisipowekewa sheria? Unafahamu hata Kenya Kiongozi wa mchakato hakuwa mkenya
 
Back
Top Bottom