Kuana machawa wanamshauri ili kuzika legacy ya marehemu atangaze katiba .sasa hela italiwa na hiyo katiba hataipatikana tusubiri tuone jinsi atakvyotawanya kodi zetuAnapoteza muda SGR na Bwawa la umeme vinamsumbiria, afanye mambo kwa focus issue za katiba hawezi anasumbuka bure