mkuu asante kwa ushauri nitajitahidi kusoma elimu dunia kama unayonishauri. ila napata tabu na hiyo ilimu dunia uliyonayo kama hata huwezi elewa mfumo ni nini na unafanyeje kazi?mpaka lini mtaendelea na hizi ngonjera za mfumo kristo..tumezichoka... mfumo kristo tungeongozwa na muislamu?? acha pumba zenyu mkuu...piga kazi na pata elimu dunia ujikomboe na umasikini wako.
kidogo nikijuacho nilihadithiwa na wasome kama wewe, ni kuwa mfumo ni zaidi ya rais. hata akae nani pale ni mfumo ndo unaomuongoza.