Mama Anne Kilango na Ajira za Emirates

Mama Anne Kilango na Ajira za Emirates

Mkuu nenda TRA bila kuwa mchanga mkiristo upati kazi. Nenda bandarini bila kuwa mkiristo upati kazi. Nenda wizara ya elimu bila kuwa mkiristo hakuna kazi.

Ritz

Wakati mwingie siwaelewi. Hivi hapa unataka kufikisha ujumbe gani? Si mara nyingi wasema hii Serkali ni ya CCM, je uataka kusema CCM ina udini kiasi hicho kwamba taasisi za Serkali yake zinaajili wakristu tu? Labda sikuelewi mkuu.
 
suala la msingi hapa watanzania watakaa muda mrefu kuja kuchagua rais mwislam.wameangalia utendaji kwa marais wanne,wawili waislam,wawili wakristo.utendaji wao tofauti.siyo ngazi ya urais tu,hata uwaziri,ukatibu mkuu,wakuu wa mashirika ya umma.wote hawa ukilinganisha utapata jibu.hata hivyo si kosa lao,ni jinsi walivyolelewa.
 
Anne akichangia hoja ya Kigwagwala aliitaka serikali ya Tanzania kuwa aggressive kama Serikali ya Kenya kuhakikisha vijana wa ki- Tanzania wanapata ajira katika mashirika ya nchi za nje na ya kimataifa kama ilivyo kwa vijana wa Kenya. Katika shirika la ndege la Emerates Wa-Kenya 800 wameajiriwa ukilinganisha na Wa-Tanzania 9 tu! Hata hivyo Mbunge machachari wa NCCR Mageuzi alimuomba Naibu Spika Mhe. Ndugai kumpa taarifa Anne Kilango kuwa Kenya wamefanikiwa baada ya kukiondoa chama tawala KANU katika madaraka!

Mama Anne aling'aka na kusema haitaki taarifa hiyo na kufoka kwa kuwaambia wabunge wa upinzani kukaa kimya! Taarifa hiyo ilimpotezea dira mama Anne nakushindwa kuwasilisha hoja zake kama alivyokusudia kwa kuanza kuishauri serikali yake kwa lugha ya ulaini!

Kweli magamba wanatetea serikali hii ili washibishe matumbo yao na si kutetea maslahi ya wapiga kura wao hata kama wanauona ukweli!
 
Kwa nini amemtaja jina huyo bint ambaye ni mtoa taarifa wake?
Im real concerned kwanini amemta jina huyo Felister?
 
unaona kama wakristo wamejaa kwa kuwa wakristo wapo wengi zaidi ya waislamu..ila si hivyo tu bali wakristo wengi wamesoma elimu dunia inayowafanya waajiriwe ukilinganisha na elimu ahela ya waislamu ambao ajira zake ni msikitini tu... halafu serikali ya awamu ya nne viongozi wakubwa wengi wa taasisi kubwa tz ni waislamu ndo wamekamatilia..ama wabisha?? chek safu ya wakuu wa nchi hii na majirani wetu zenj.

Ndugu yangu mbona unatuaibisha , Una maanisha sisi wakristo ndio wafisadi wakubwa, ina maana tumezhika kila mahali Na hiyo Taasisi moja nssf iliyoshikwa na muuislamu ndio taasisi pekee yenye kuwa ni profitable. kwetu kwa wakristo kuna akina Lowasa, Mtei, Ngeleja, Sumaye, Mbowe nk ambao wote ni maafisadi. Basi tuwape jukumu lote waaislamu tupate maendeleo. Elimu yetu imekuwa ni Madigree ya kula rushwa tuu.
 
Wajameni,huyu mama ni mwongo mkubwa na mnafiki,akiongea utadhani matatizo ya watanzania yanamuuma toka rohoni,kumbe wapi ni janja ya nyani bahati mbaya kwao "magambaz" watu wameamka na kushtuka mbaya zaidi kwao watanzania wameamua hawadanganywi kibwege tena.kumbuka wenzako NTWALA,jirani zako wasambaa wanasema ni HATAI KWEIKWEI.
 
unaona kama wakristo wamejaa kwa kuwa wakristo wapo wengi zaidi ya waislamu..ila si hivyo tu bali wakristo wengi wamesoma elimu dunia inayowafanya waajiriwe ukilinganisha na elimu ahela ya waislamu ambao ajira zake ni msikitini tu... halafu serikali ya awamu ya nne viongozi wakubwa wengi wa taasisi kubwa tz ni waislamu ndo wamekamatilia..ama wabisha?? chek safu ya wakuu wa nchi hii na majirani wetu zenj.
wezi wakubwa nyie, nchi hii ni masikini kwa sababu ya mfumo kristo na wakirsto walioshika nafasi zote za muhimu serikali.
 
​Bungeni patamu!

Muda mfupi uliopita mama Anne Kilango amemaliza kuchangia hoja ya jinsi gani vijana wasaidiwe kupata ajira. Kama kawaida yake ameirarua serikali.Amesema kuna siku amesafiri na ndege ya shirika la Emirates, mle ndani alikutana na mfanyakazi mtanzania anaitwa Felister.

Mama Anne Kilango alimdadisi yule dada hadi akamwambia kati ya wafanyakazi 15,000 wa shirika lile wapo watanzania 9, wakenya 800, sababu ni kuwa wakenya nafasi zikitoka serikali yao inaintervene kuwatafutia vijana wake. Mama Kilango anasema huo ni uzembe wa serikali yetu.

Mara palepale mbunge MACHALI akaomba kutoa taarifa na bahati mbaya naibu spika akamruhusu, Machali akampa taarifa mama Kilango kuwa "Kenya wamefikia pale kwa sababu walifanikiwa kukiondoa chama tawala madarakani".

Majibu ya mama Kilango yalikuwa ya aibu maana kwa kujivuta na ile sauti yake ya mkwara akasema."Taarifa hiyo naifuta na wala sitaki kuisikia"
Nawashangaa sana CCM wanapigania ajira kwa watanzaia Emirates wakati wahudumu wa ATCL wote wachina na wakorea. Charity begin at home sasa kama hawawezi kuwaajiri watanzania ATCL, Emirates ndio wataweza?
 
angalia data kati ya utawala wa A ama utawala wa B ni upi nchi imeendelea..sote tunajua hili.. ukiingia utawala B tunakuwa kwenye miaka ya maangamizi ukirudi A tunakuwa kwenye miaka kumi ya nehema.. ama unabisha mkuu... najua kimoyo moyo unasema ila kijana anapoint za ukweli, japo hutaki kubali
mkuu unaongelea neema ipi? ile nyerere aliyotuacha nayo kuvaa nguo za kaki, kaniki, mawingu, kuvaa matairi ya gari miguuni speed 2km/h? ile ya kwenda kupanga mstari wa kununua sabuni, chumvi, sukari nK? na wasiwasi na uelewa wako au utakuwa twenty-age
 
suala la msingi hapa watanzania watakaa muda mrefu kuja kuchagua rais mwislam.wameangalia utendaji kwa marais wanne,wawili waislam,wawili wakristo.utendaji wao tofauti.siyo ngazi ya urais tu,hata uwaziri,ukatibu mkuu,wakuu wa mashirika ya umma.wote hawa ukilinganisha utapata jibu.hata hivyo si kosa lao,ni jinsi walivyolelewa.
unaota. acha katiba mpya ije ndo utajua kitakachoendelea. kwa bahati nzuri uelewa wa waislam sio ule wa miaka ya 47 ambapo nyerere aliwafubaza. kumbuka pia sisi ni wengi kuliko nyinyi. hatujawahi kuona neema yoyote kwa utawala wa wakristo. zaidi ya madhila ila tu wanabebwa na vyombo vya habari. kwa taarifa yako kama ndo hayo mnayojiaminisha huko makanisani mmpenoa. jiulize yaliyotokea kule ivory cost na kwengeneko. hivi hamsomi alama za nyakati?
 
I hate udini, ukabila. Hivi hatuwezi kuchangia kwa muono mwingine bila kuweka udini.

Bora sensa haikuweka mambo ya dini maana sasa hivi tungekuwa kwenye vita
 
unaona kama wakristo wamejaa kwa kuwa wakristo wapo wengi zaidi ya waislamu..ila si hivyo tu bali wakristo wengi wamesoma elimu dunia inayowafanya waajiriwe ukilinganisha na elimu ahela ya waislamu ambao ajira zake ni msikitini tu... halafu serikali ya awamu ya nne viongozi wakubwa wengi wa taasisi kubwa tz ni waislamu ndo wamekamatilia..ama wabisha?? chek safu ya wakuu wa nchi hii na majirani wetu zenj.
eti wakristo wengi? wapi? kwenye ufisadi? kwa sababu ndo wameshika nafsi kwenye hizo sekta za umma. siunaona sasa hivi akina lowasa wanavyogawa makanisani kujenga nyumba za mungu kwa hala walizotuibia? na wasiwasi hata na huyo mungu anayeabudiwa kwenye hizo nyumba.
hata wewe unapata amani kabisa kwenda kusali kwenye hizo nyumba?
Ewe mwenyezi mungu naomba uniepushe na maovu ya aina hii.
 
wanachokifanya wakenye ni kwamba baada ya Emirates kutangaza ajira, mabalozi(Kenya)huchukua yale matangazo na kuyapeleka Kenya kuangalia watu ambao wanaweza kufit zile nafasi.
 
Linganisha utawala wa Nyerere na wa Mwinyi! Kipindi cha haambiliki kulikuwa na njaa, foleni za mikate, watu kuvaa ngozi na matairi na wengine kutembea uchi! haya Kipindi cha Mzee Ruksa, neema, uchumi kukua, chakula kibao na hata Mungu kutuondolea njaa na kutuletea mvua za kutosha! hata Chadema kilisajiliwa kipindi hiki cha Mzee Ruksa ndo maana leo mna ubavu wa kuongea na kuandamana! jee, mngeweza kufunua domo lenu kipindi cha Mzee haambiliki?
we zubeda nani kasema mie ni chadema akhaaa.. sijasema mie...halafu usinidanganye eti kipindi cha mzee mwinyi uchumi ulikuwa kadanganye wasio na elimu..na kutofautilia mambo kwenye migahawa ya kahawa...huko...
 
wezi wakubwa nyie, nchi hii ni masikini kwa sababu ya mfumo kristo na wakirsto walioshika nafasi zote za muhimu serikali.
mpaka lini mtaendelea na hizi ngonjera za mfumo kristo..tumezichoka... mfumo kristo tungeongozwa na muislamu?? acha pumba zenyu mkuu...piga kazi na pata elimu dunia ujikomboe na umasikini wako.
 
eti wakristo wengi? wapi? kwenye ufisadi? kwa sababu ndo wameshika nafsi kwenye hizo sekta za umma. siunaona sasa hivi akina lowasa wanavyogawa makanisani kujenga nyumba za mungu kwa hala walizotuibia? na wasiwasi hata na huyo mungu anayeabudiwa kwenye hizo nyumba.
hata wewe unapata amani kabisa kwenda kusali kwenye hizo nyumba?
Ewe mwenyezi mungu naomba uniepushe na maovu ya aina hii.
unamuongelea lowassa mshikaji wake kikwete ama?? si walifisadi pamoja.. tangu lini waziri mkuu afanye jambo bila kushauriana na raisi?? changa la macho limepigwa hapa.. na watu wasio na maji ya kuosha macho yao wanakalia kuropoka maneno wasioelewa..
 
unamuongelea lowassa mshikaji wake kikwete ama?? si walifisadi pamoja.. tangu lini waziri mkuu afanye jambo bila kushauriana na raisi?? changa la macho limepigwa hapa.. na watu wasio na maji ya kuosha macho yao wanakalia kuropoka maneno wasioelewa..
mkuu kwani kikwete alitoa hela za harambe kwenye misikiti ipi? Nitajie hata mmoja tu. Na pili kumbukumbu zangu zinakumbuka jinsi kikwete alivyotoa misaada makanisani mpaka hata kwenye vikundi vya kwaya vya kanisa na mpaka akaitwa hata chaguo la mungu. niambie ni muislam yupi au kikundi kipi cha kiislam kilijitokeza na kusema kuwa JK ni chaguo la mungu? mkuu just fikiria kidogo past events. usibishe tu bila shaka utakubaliana na mimi hata kama si wazi basi kimoyomoyo. mimi nitashukuru sana ukiwa muelewa, kwa hoja na evidences.
 
Back
Top Bottom