Mama Anne Kilango na Ajira za Emirates

Mama Anne Kilango na Ajira za Emirates

Mkuu nenda TRA bila kuwa mchanga mkiristo upati kazi. Nenda bandarini bila kuwa mkiristo upati kazi. Nenda wizara ya elimu bila kuwa mkiristo hakuna kazi.


Kweli mkuu, na Wasio Wakristo waliosoma shule za Wakristo ndio wameajiriwa.
 
unaota. acha katiba mpya ije ndo utajua kitakachoendelea. kwa bahati nzuri uelewa wa waislam sio ule wa miaka ya 47 ambapo nyerere aliwafubaza. kumbuka pia sisi ni wengi kuliko nyinyi. hatujawahi kuona neema yoyote kwa utawala wa wakristo. zaidi ya madhila ila tu wanabebwa na vyombo vya habari. kwa taarifa yako kama ndo hayo mnayojiaminisha huko makanisani mmpenoa. jiulize yaliyotokea kule ivory cost na kwengeneko. hivi hamsomi alama za nyakati?

Super, umepatia sana mkuu - tatizo la wengi wetu ni "kutosoma alama za nyakati!!!" - nimejaribu kuwaelimisha wakristo wenzangu lakini kwa bahati mbaya hakuna anaye nielewa!! Tatizo la wengi wetu ni kuto ona beyond our noses, narudia - wanasema lolote bila ya kutafakali mambo, kazi kutukana watu wanapo kikosa hoja za msingi - kwa hilo tu nawatolea KOFIA.
 
Nafikiri sasa hii iwe changamoto kwa serikali yetu. Kuna njia nyingi zinaweza kutumika kuwapatia watanzania ajira nje ya nchi.
Mojawapo ni kuwapa mabalozi wetu wa nje 'quota' za idadi ya Watanzania anaotakiwa kuwapatia kazi nje ya nchi kila mwaka. Akishindwa kwa miaka miwili mfululizo kufikia 'target' anaondolewa tu..
Pili ni kuondoa 'ada' ya kupata hati ya kusafiria(Passport) na urasimu wake mkubwa..
Tatu watanzania wahamasishwe kwenda ughaibuni.
Nne, balozi zetu ziwe karibu na raia wake.

Nakuhunga mkono, ni wazo zuri sana mkuu, tatizo kubwa ni mind set zetu Watanzania - Ajila zinapo tolewa katika vitengo ya UN, ITU na mashirika mengine ya Kimataifa utakuta Barozi zetu za nje zinakalia info wanajaribu kuwatafutia ajila ndugu zao wa karibu wakiwakosa wana kaa kimya.

Nakumbuka kuna wakati fulani JK aliwahi kukemea tabia hizi mbovu, alisema utakuta ajila nyingi kwenye Umoja wa Mataifa kwa mfano wameajiliwa jamaa wengi kutoka Africa Magharibi lakini kuna Watanzania wachache sana, alisema upungufu huu unasababishwa na Watanzania wenzetu wenye kutuwakilisha/Wakurugenzi katika vitengo vya Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine ya kimataifa kukaa kimya bila ya kutoa taarifa kwa Watanzania wenzao ili wachangamkie ajila; which means wachawi wetu ni sisi wenyewe.
 
Anne Kilango anailalamikia Emirates kuwapa ajira Watanzania. Ajira zenyewe za Tanzania zinatolewa kwa udini.

:mvutaji😛oor Ritz
hao Emirates ni waarabu sasa waweza tuambia ni wadini gani wanaoajiriwa hapo
 
:confused2:Tusidanganyane Watanzania ni watu ambao wana roho mbaya sana kumsaidia mwenzake afanikiwe,wapo wachache ambao wananweza kukusaidia lakini wengine wako radhi amuweke ndugu yake ambaye hajui kitu ili tu asimuweke mwenzake,Tukiacha hayo ya roho mbaya na tukasaidiana na tukiacha wivu wa kijinga kwamba nikimsaidia atanizidi tutasaidiana
 
Anne Kilango anailalamikia Emirates kuwapa ajira Watanzania. Ajira zenyewe za Tanzania zinatolewa kwa udini.

Ukiambiwa wewe na Rais wako ndiyo mnamwaga sumu ya UDINI hapa nchini unahamaki.
 
Mungo Park
Tatizo Mtnzania hajui haki zake,hata kitu ambacho ni haki yake anakubali kukitolea rushwa mfano ni passpot ile ni haki yako ya kikatiba maadamu umezaliwa Tanzania,hadi kufikia kuwa na urasimu na kuonkana ni kitu ambacho ni anasa kuwa nacho ni tabia ya Watanzania kutaka shortcut bila kuumiza kichwa hivyo kuhalalisha kwamba ili nipate haki yangu ya kisheria lazima nitoe kitu kidogo,Pale tu tutakapojitambua na kujua kwamba kuna haki yangu ya kikatiba ambayo sipaswi kuilipia ndipo urasimu utakapokwisha kwenye haki za kikatiba za watanzania
 
Hivi serikali kati ya wakiristo na waislam dini gani wamejaa serikalini kama siyo wakiristo ufisadi kila kona.

Fisadi hana dini mkuu Ritz! Unaukumbuka ule wa Naziri Karamagi, Pesambili Mramba Dr. Daudi T.S. Balali???
Je ule wa mapacha watatu Rostam, Mkulu na Edo? japo wamemtoa edo sadaka wote walihusika!
Ule mwingine wa kuuza mali zetu BAKWATA unauonaje?
Acheni mambo ya udini haya faida
 
Badala ya kulalamika tu, wabunge wangefanya jitihada za dhati, ili kwanza urasimu uliopo kwenye idara ya uhamiaji ukaondolewa!
Kuna usumbufu mkubwa kwa mtanzania wa kawaida kupata passport pale.
Kazi za kimataifa zinamtaka muombaji awe na passport, wakati uhamiaji wanatoa hiyo passport kwa mtu ambae tayari ana barua ya uthibitisho wa ombi lake hilo. Nafikiri mnapata picha ya urasimu unaofuata hapo!
 
Anne Kilango anailalamikia Emirates kuwapa ajira Watanzania. Ajira zenyewe za Tanzania zinatolewa kwa udini.

Ni kweli kabisa Ritz. Waajiri wengi hapa Tanzania hawaangalii tena sifa za waombaji. Wao wanaangalia zaidi sifa za udini, ukabila na rushwa ya mwombaji. Wamefikia hatua ya kuwala uroda baadhi ya dada zetu kwa ahadi ya kuwaajiri kwa upendeleo ilhali sifa wanazo. Yaani ni upendeleo upendeleo upendeleo tu mwanzo mwisho!!

Kwa maoni yangu, mimi nadhani hili tatizo la ajira linasababishwa na serikali yetu. Serikali iliyoundwa na Chama Cha mapinduzi (CCM). Imeshindwa kuweka mikakati madhubuti ya kutatua tatizo la ajira hapa Tanzania. Vijana na digrii zao wamebaki kuwa omba omba wa ajira. Hawajaandaliwa kujiajiri na hatimaye kutengeneza ajira zaidi na zaidi.

Ritz, tufanye nini sasa? Mimi nashawishika sana kuamini kwamba serikali hii inayotokana na chama tawala ie CCM imeshindwa kazi. Tuungane na Mh. Machali kuitoa madarakani kwa mujibu wa sheria kama walivyofanya wenzetu wa Kenya. Ndio Ritz, tuing'oe CCM madarakani na tuwaweke watu tunaoamini watatufikisha tunakotarajia.

Nawasilisha.
 
Just curious! Hivi Kilango kanenepa au mzee kashapingana na JK kwenye uzazi wa mpango?
 
Mtu anayezungumzia udini kuwa ndo kigezo cha kupata ajira serikalin ni mtu aliyekosa confidence na elimu yake,ni wale wakucopy na kupest kw kifupi wanaitwa......
 
Hivi serikali kati ya wakiristo na waislam dini gani wamejaa serikalini kama siyo wakiristo ufisadi kila kona.

Endelea kusubiri pilau, kofia, t-shirt na mdumange kwa sana ukidhani kuna atakayejitokeza kuwanasua hapo mlipo wewe na wanao..
 
Hilo sio tatizo la msingi. Badala ya kupigania serikali itengeneze ajiri za ndani unalalamika shirika la nje haliajiri watanzania ? Mfumo wetu wa kodi havutii watanzania kurudisha hela nyumbani hilo la pili kwa umuhimu.
 
...kwa wote mnaochangia humu:
Kama wewe unajiita 'mkristo'au 'muislam' na unachangia humu kwa kamtazamo hako, basi fanya moja kati ya haya:
1. AMKA SASA na uanze kutumia muda wako vizuri zaidi kwa manufaa yako, jamii yako na nchi yako; au
2. Endelea KULALA ili wajanja waendelee kutumia hizo dini zenu KUWANYONYA hadi siku ya 'kiama'

ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom