Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Barabara ya ubungo-Mbezi mwisho inaongoza kwa Kuegeshwa malori njiani, Malori yanasababisha foleni kubwa sanaa, Nashindwa kuelewa kuwa Mamlaka Huwa haifanyi ukaguzi wa magari haya?
Yanaachwa yafanye safari zake yakiwa mabovu cha ajabu yanazima njiani, inakuwa kero kwa Watumiaji wa barabara wengine. Pia Wamiliki wa malori haya wanahatarisha maisha ya madereva wao na watumiaji wengine wa barabara. Unakuta Boss anajua gari mbovu na dereva kamwambia ila anamjibu "Si linatembea? Endelea kufanya kazi mpaka tutakapopata Mbadala"
Yanaachwa yafanye safari zake yakiwa mabovu cha ajabu yanazima njiani, inakuwa kero kwa Watumiaji wa barabara wengine. Pia Wamiliki wa malori haya wanahatarisha maisha ya madereva wao na watumiaji wengine wa barabara. Unakuta Boss anajua gari mbovu na dereva kamwambia ila anamjibu "Si linatembea? Endelea kufanya kazi mpaka tutakapopata Mbadala"