Nafikiri hata hao chawa wake kama wanaishi 🇹🇿 watateseka pia!Muongo huyo bibi, tunaenda kuteseka miaka 5 tena. Watakaoishi vizuri ni machawa wake tu 😔
Kbs, siku hizi huku napaona pa moto sanaFanya hivyo usije kuingia matatani, hao wapuuzi siyo watu wazuri kabisa 🫤😬
Yani unasema akiwa mtupu na kifua kinarukaruka, akimbize waliomvua nguo 😳😳Mkimbize aliekuvua
Kuna watu wanadhani utani, ila huko kwa ground panafukuta siyo mchezo!Kbs, siku hizi huku napaona pa moto sana
Ni huzuni 🥺🥺Maneno yake yangeweza kufufua waliouliwa ingebidi apigiwe makofi mwaka mzima ila yameshindwa kufuta hata makovu ya wafiwa
Ndiyo kwani cha ajabu niniYani unasema akiwa mtupu na kifua kinarukaruka, akimbize waliomvua nguo 😳😳
Na pale mwisho kabla ya kumaliza na kuanza kulia kwa hisia huku aakisema ...usipimwe kwa vitu bali tabasamu la watanzania.. machozi yakamtokaKilichonishangaza: ni wabunge kupiga makofi mengi pale raisi aliposema anywe maji kidogo 😂😂
Na hawachek na kima Hawa ma mwamba. Siku hizi kuuziwa uhaini imekuwa bei cheap sana😄Kuna watu wanadhani utani, ila huko kwa ground panafukuta siyo mchezo!
Pole kwa hasira na maumivu.Kaongea nonsense, moyo wangu una hasira kali dhidi yake.
Ni vile sina mamlaka makuu katika dunia hii.
Ungependa aondoke aje nani? je tatizo ni yeye kama raisi au ni mifumo ya kisheria na kiutawala ambayo inamuwezesha yeye kutenda yale anayoyafanya?Ila ndani ya moyo wangu nimemchukia milele.
Simtambui kama Rais na soon ataondoka katika nafasi hiyo
Masaa yote mawili 😅?Blah blah
Tulia 🤣 tuko bize na maswala ya kitaifa kwanza.Yaaani kwa haraka haraka nikajua uzi wa mambo yetu yale kumbe ni mama sijui..😂😂😂😂😂😂
Daaah nimechoka ngoja Nikatoe makopa kopa kule
Akiomdoka yeye, kabla hajaja mwingine mifumo itawekwa sawa kutokana na makosa mengi yaliyoonekana kwenye mgumo hivi karibuni.Pole kwa hasira na maumivu.
Ungependa aondoke aje nani? je tatizo ni yeye kama raisi au ni mifumo ya kisheria na kiutawala ambayo inamuwezesha yeye kutenda yale anayoyafanya?