Mali za Kijerumani

Mali za Kijerumani

Dah! Nilichelewa kuuona huu uzi ila nitachangia tu uelewa wangu huenda wapo watakaonufaika na kuelewa na wapo pia ambao hawataamin kabisa.

Mali za kijeruman ni kweli zipo tena nyingi sana. Pia ni kweli kuwa mali hizo zimefichwa kwa utaalam usio wa kawaida yani uchawi aina ya mistry umetumika zaidi. Uchawi huu hutumiwa zaidi na taifa teule la Mungu yaani waisrael. Mistry ni uchawi wa hali ya juu sana kiasi kwamba uchawi unaotumika afrika wa black magic ni vigumu kutengua kitu au mtu aliyelogwa kwa uchawi huo.

Watanzania wengi hawawezi kuamin uwepo wa mali hizo kutokana na mazingira yake kuwa magumu kuliko fikra za wengi. Ili kupata Mali hizo za wajeruman ukienda kwa mganga sharti atakwambia uchinje kuku, ng'ombe, mbuzi au kafara ya mtu jambo ambalo ni kosa kubwa katika kutafuta mali hizo. Mali hizo hazihitaji kafara ya damu isipokuwa kuna utaratibu wake wa namna ya kuzitafuta na kuzipata.

Kuna watu humu jf wanapinga uwepo wa mali hizo lakini baadhi yao wanaopinga htawajawahi kusafiri mikoani. Fanyen tafiti.


Naunga mkono hoja yako Mkuu !
Hiyo picha ni baadhi ya mlango wa site unavyoonekana
 

Attachments

  • 1447474004198.jpg
    1447474004198.jpg
    138.6 KB · Views: 688
Mimi nimetembea mikoa ming ya tz na nimeongea na wazee wakongwe wa baadhi ya vijiji na kugundua siri nyingi sana kuhusu alama mbalimbali kwenye baadhi ya milima na mawe ktk maeneo mbali mbali. Kuna watu wanasafiri mara kwa mara hiv mmewahi kujiuliza nani anachora alama fulan fulan kwenye baadh ya milima au mawe kule porini na hasa alama ya mistar kama ya pundamilia ya rangi nyeupe au alama za fuvu na mifupa miwili(Danger mark)? Mi najua hakuna aliyewahi kujiuliza au kufuatilia juu ya alama hizo.

Na kwa wale wana jf ambao hawana tabia ya kufanya utafiti halafu wanakurupuka kupinga kitu pasipo kuwa na uhakika waache. Watz wengi hatupati maendeleo makubwa kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu kumbe hamna kitu. Kwa taarifa tu ni kwamba wapo matajiri wengi wanaotajirika kupitia mali hizo ila hawasemi na hawawezi kuwaambia watz hata siku moja maana wakiwaamsha hawataendelea kunufaika kama sasa.

Serikali inajua kuwa mali zipo isipokuwa haiwezi kuzitoa yenyewe kwa sababu ya mali hizo kutopatikana ktk eneo moja tu.
 
Naunga mkono hoja yako Mkuu !
Hiyo picha ni baadhi ya mlango wa site unavyoonekana

Mkuu kuna watu humu wanapinga vitu ambavyo hawavijui. Sijui wanataka hivyo vitu wapelekewe majumbani mwao ndo waamini?
 
Ukiona kitu kama pasi, stovu, sufuria vyenye alama ya minaz au simba au kichwa cha mtu aliyevaa kofia usikimbilie kwa mganga ni bora ukakichuku na kukihifadhi ktk mazingira mazur na kutafuta mtu anayejua mambo ya maficho ya kijerumani. Tatizo kubwa tulilo nalo watz ni kuwepo kwa matapeli wengi zaidi kuliko wahusika wenyewe. Na kwa sababu matapeli ni wengi wamesababisha watu kukosa iman na ukweli wa jambo hili.

Ukiona pango na ukaona sanduku/masanduku ndani ya pango hilo ukajaribu kupita ukaona aidha mtu au nyoka usitafute mganga wa kienyeji bali tafuta wataalam wanaohusika na mambo ya kale hasa ya kijeruman hao ndo wenye uwezo wa kuondoa mauza uza hayo na kuitoa mali hiyo.

Kitu cha kushauri hapa ni kuwa usipende sana kutafuta rupia maana ina mashart mengi zaidi kuliko mali nyingine ya mjerumani. Na ndo maana wengi waliohangaika kutafuta rupia walifilisika. Kama unatafuta rupia na ukaipata huyo uliyemkuta nayo unatakiwa ufuatilie kwanza je, ni ya kwake, ukoo wake au aliiba, au aliikota?
 
Mimi nimetembea mikoa ming ya tz na nimeongea na wazee wakongwe wa baadhi ya vijiji na kugundua siri nyingi sana kuhusu alama mbalimbali kwenye baadhi ya milima na mawe ktk maeneo mbali mbali. Kuna watu wanasafiri mara kwa mara hiv mmewahi kujiuliza nani anachora alama fulan fulan kwenye baadh ya milima au mawe kule porini na hasa alama ya mistar kama ya pundamilia ya rangi nyeupe au alama za fuvu na mifupa miwili(Danger mark)? Mi najua hakuna aliyewahi kujiuliza au kufuatilia juu ya alama hizo.

Na kwa wale wana jf ambao hawana tabia ya kufanya utafiti halafu wanakurupuka kupinga kitu pasipo kuwa na uhakika waache. Watz wengi hatupati maendeleo makubwa kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu kumbe hamna kitu. Kwa taarifa tu ni kwamba wapo matajiri wengi wanaotajirika kupitia mali hizo ila hawasemi na hawawezi kuwaambia watz hata siku moja maana wakiwaamsha hawataendelea kunufaika kama sasa.

Serikali inajua kuwa mali zipo isipokuwa haiwezi kuzitoa yenyewe kwa sababu ya mali hizo kutopatikana ktk eneo moja tu.

Ni hii mambo zipo, nimefanya kautafiti kangu nikiwa mwanza, nilifuata alama kwa maelekezo nilopewa nikafika mahali kuna handaki, kiukweli niliogopa kuingia, kwanza nlikua pekeangu, so safar iliishia hapo, nia yangu ilikua kuthibitisha story nilizopewa, hivyo nina hakika kama nitapata muda nitaendelea na utafiti wangu, na ni kweli mashart yake wala si umwagaj damu, ni marahisi tu, sema inatakiwa kuwa na ujasir, kuna mitego, na ni sehemu hatar sana.

Hiyo ni picha kati ya maeneo nilopita.
Hiyo chokaa ni moja kati ya alama zinazowekwa, zipo alama tofauti tofauti kulingana na aina ya mzigo ulotunzwa, alama nyingine ni direction ya sehem maalumu ulipo mzigo, au alama za njia.

Kuna alama za miti fulani ivi ambayo inaishi muda mrefu na katika maeneo ya mawe mawe, pia kuna alama ya mchanga, yani kuna mchanga umemwagwa uko tofauti na mchanga halisi wa eneo hilo, na unaukuta mwanzo wa mawe, ama ukiona alama fulan ukaifata ktk pango unakuta umemwagwa juu.
 

Attachments

  • 1447476758539.jpg
    1447476758539.jpg
    72.7 KB · Views: 477
Niunganishe na huyo mwalimu wako nina mengi ya kuongea nae tafadhali
 
Mimi nimetembea mikoa ming ya tz na nimeongea na wazee wakongwe wa baadhi ya vijiji na kugundua siri nyingi sana kuhusu alama mbalimbali kwenye baadhi ya milima na mawe ktk maeneo mbali mbali. Kuna watu wanasafiri mara kwa mara hiv mmewahi kujiuliza nani anachora alama fulan fulan kwenye baadh ya milima au mawe kule porini na hasa alama ya mistar kama ya pundamilia ya rangi nyeupe au alama za fuvu na mifupa miwili(Danger mark)? Mi najua hakuna aliyewahi kujiuliza au kufuatilia juu ya alama hizo.

Na kwa wale wana jf ambao hawana tabia ya kufanya utafiti halafu wanakurupuka kupinga kitu pasipo kuwa na uhakika waache. Watz wengi hatupati maendeleo makubwa kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu kumbe hamna kitu. Kwa taarifa tu ni kwamba wapo matajiri wengi wanaotajirika kupitia mali hizo ila hawasemi na hawawezi kuwaambia watz hata siku moja maana wakiwaamsha hawataendelea kunufaika kama sasa.

Serikali inajua kuwa mali zipo isipokuwa haiwezi kuzitoa yenyewe kwa sababu ya mali hizo kutopatikana ktk eneo moja tu.

Unaweza kututajia tajiri hata mmoja aliyefanikiwa kwa njia hizo?
 
Hivi vitu ni vya kweli kabisa na nimeshuhudia kwa macho angu mwenyewe kuna mto unaitwa kimani upo mbuyuni mbarali mbeya huo mto umetenganisha kijiji cha kimani na mbuyuni ukitembea kama kilomita mbili kuna maporomoko pale sasa hapo hao wazungu ndo walipo toa hizo mali waliuchepusha mto ilikuwa kipindi cha kiangazi wakati maji si mengi nimeshuhudia wakitoa mapipa ila sikujua yalikuwa na nini ila kiukweli lazima uwe na mtaji mkubwa sana baadhi ya sehemu na kuna sehemu ingine milima ya living stone unaingilia mabadaga kijijini haya mambo yapo wanao bisha waache wabishe.
 
hiyo ishu ipo..ila nna jamaa wamefilisika sababu ya hiyo kitu...kuna kijiji flani karibu na kilwa hiyo ishu nimeishuhudia kwa macho ktk kiwanja cha jamaa zangu hawa....iko hivi miaka mitatu iliyopita hawa jamaa walifiwa na bibi yao mzaa mama huko kijijini ila yule bibi kabla hajafa aliwahi kuwaambia kwamba katika shamba lake kuna vitu vilifukiwa na wazungu kipindi hicho cha mjeruman..wajukuu walibisha ila bibi hadi anakata kauli alikuwa na msimamo huohuo kuwa kuna vitu vimefukiwa chini ya lile shamba na anahisi ni mali.hivyo kama wajukuu wataweza wakomae.....jamaa yangu mmoja kati ya hao wajukuu tulipanga nyumba moja maeneo ya mabibo..huyu alikuwa na goli la mitumba big brother pale...jamaa kila.siku alikuwa akinambia hiyo story ya bibi yake akitaka nimpe mzuka tukafukue ila mimi nikawa naona ni.story za kijiti tuu...basi jamaa wakakaa familia ya watu wanne na kaka.zake wakahamia bush kama maskhara, wakaweka kambi shamba na shughuli ikaanza...jamaa walichimba sio.vile unavyojua wewe chimba sana na.wakaenda kuchukua mikopo kwenye hizo taasisi zao wakakodi na scaveta kweli baada ya kuchimba lishimo refu kama nguzo mbili.za umeme wakakuta zege moja ya maana sana...hapo hata ikabidi wakodi tena mtambo wa kuvunja ile kitu..huwezi amini walifeli hadi mpango unakata zege halivunjiki.....ila mbaya zaidi siku moja walikuja wazee na diffenda wakawasomba na kuwatupa ndani......hadi hivi navyoandika jamaa wanalipa madeni tuu..mzigo hawajapata
 
Niliwahi pata hadithi wajerumani kwa kutumia ramani walifika ktk kijj fulani na eneo walilokuwa wakilitaka lilikuwa limeshajengwa makazi ya watu wakalinunua kwa bei ghali na kilichofuata wakabomoa nyumba na wakachimba mashimo marefu kisha baada ya muda wakatokomea zao
 
Hii ni kweli wala so uongo wakubisha na abishe.Mr.Mangi hiyo story niliwahi sikia.
 
Wote, nilisikia, niliambiwa. Hizo stori za mali nyingi ni hadithi tu. Nimezisikia toka utoto mpaka mtu mzima na sijaona aliyetajirika. Kuona zege haimaniishi chini kuna mali au madini.

Watu wametapeliwa, wengine kufilisika kwa sababu ya hadithi kama hizo.
 
Mie nina jiko la mjeruman,babu yangu aliniachia.Nataka niliuze sasa.
Ila nataka dollar million 800($800m)
Ukiweka pen ya blue inakua nyekundu.
Ukisogeza simu network inakatika.
Kama unapesa hiyo ni PM.
Kama huna piga kimya tu.
 
Unaweza kututajia tajiri hata mmoja aliyefanikiwa kwa njia hizo?


Ulikwisha ona tajiri anayetajirika kwa biashara ya madawa ya kulevya akajitangaza? Ajitangaze ili iweje ? Kama huamini endelea kulima nyanya zitakulipa zaidi
 
Hizi hadithi za mali ya Mjerumani nimeshuhudia zikifilisi watu ila sijawahi ona mtu akitajirika kupitia hizo mali.
 
Hizi ni hadidhi tu kama hadithi zingine,kama ni kweli kwanini hao wajerumani wasije kuzichukua wenyewe mali zao?
 
Hii kitu naanza kupata shaka kua ni kama ya KUSADIKIKA.
Maisha ya kusadikika ni Maisha yanayotawaliwa na vitu kuonekana kama vimethibiti kwa historia na kutawaliwa na neno 'nimesikia nimesikia' ukimpata aliyeona naye huongeza kusadikika zaidi badala ya kurahisisha habari.
Kwa maoni yangu binafsi,inawezekana kweli kulihifadhiwa vitu ila si kwa dhana ya thamani hii inayosadikika labda hii thamani ilijiri kipindi hicho wkt vinafichwa (that why vikawa hidden kiasi hicho tajwa) ...ila kuniambia vilifichwa kua na thamani endelevu tuuu mmmh doubt hapo..suala hili mzazi wangu wa kiume lilimpiga pesa mno mwisho wa siku wakajaishia ktk mapango wakizungumza na speaker za matapeli....kwa hiyo mnaoamini kujiri kwa hili vyema mkawa makini limekua la kitapeli zaidi.
Mwisho kabisa dhana hii ya mali za kijerumani nalinganisha na Maisha haya ya Kusadikika;
*Nyangumi na ukubwa wa kisiwa unaweza kupika ila usikate limao/ndimu
*Simba karatasi wa Mtwara,dakika mjini dakika newala
*Mume kugeuka chatu kisa mapenzi Buguruni(alipooga maji yenye dawa za mapenzi)
*Dada kugeuka Manyoya Salender Bridge
Hii ni Mifano michache ya Maisha Kusadikika hupati atakayekuambia kaona kila mtu atakuambia Kasikia Kasikia kama si kuhadithiwa....ila inreturn kila tukio hapo lina chanzo chake ambacho si uhalisia wa habari hiyo inayosambaa.
Mfano,hilo la mume kugeuka chanzo ni Wimbo ktk ngoma ya Mdundiko......thus hata hayo mengine yawezekana Hadithi za Bibi na Babu zetu.
Tafakari Chukua Hatua!!!
 
Ulikwisha ona tajiri anayetajirika kwa biashara ya madawa ya kulevya akajitangaza? Ajitangaze ili iweje ? Kama huamini endelea kulima nyanya zitakulipa zaidi

Kaka umesema kweli kabisa. Hakuna atakayeamini hata kama ukimwambia. Wabaki na ujinga huo huo.
 
Unaweza kututajia tajiri hata mmoja aliyefanikiwa kwa njia hizo?

Hata yesu alisema kizazi hiki hakitaamin hadi kione. Kwa hiyo sikushangai kutaka kuona au kuambiwa tajiri mmoja aliyetajirika kupitia mali hizo na hata nikikuambia hutaamin. Ukiwa kama mwana jf anza kufanya uchunguzi wa matajiri unaowafaham wakubwa tz, Je, walitajirikaje usisubiri kuambiwa fulan.
 
Wote, nilisikia, niliambiwa. Hizo stori za mali nyingi ni hadithi tu. Nimezisikia toka utoto mpaka mtu mzima na sijaona aliyetajirika. Kuona zege haimaniishi chini kuna mali au madini.

Watu wametapeliwa, wengine kufilisika kwa sababu ya hadithi kama hizo.

Kupata mali hizo kunahitaji utafiti na uelewa wa alama unazoziona kwenye hiyo site. Pia unatakiwa kupata wataalam wenye uelewa na mali hizo ili wakupe muongozo kulingana na alama zilizopo ktk eneo/site hiyo.

Tatizo la wtz ni kukurupuka na ndo maana wengi wanafilisika. Mali hizo sio kama kuchimba almasi bali kuna taratibu zake unazopaswa kuzifuata ndipo upate mali. Ukumbuke kwanza mali hizo ni za watu wamezificha kwa utaratibu wao. So hata kuzipata ni lazima upitie taratibu fulan. Hutakiwi uwe umewahi kumwaga damu ya mtu au uwe na tabia ya uchawi. Na hayo ndo mashart makubwa pamoja na mengine mengi kwa aliye na site yenye mali hizo.

Moja ya shart baada ya kupata mali hizo ni kutoa sadaka kwenye jamii inayokuzunguka.
 
Back
Top Bottom