Mali za Kijerumani

Mali za Kijerumani

Uwiiio
nawasihi ndugu zangu msijiingize kwe kazi hii.mtapoteza muda mtaumia na mwisho mnaeza ishia kuwa wachawi.nawasihi nina uzoefu na hili.tafuteni kazi zingine za kufanya.
Ewiiii yelewiiii
 
Kuna jamaa walifanikiwa kupata red mercury yenye thaman ya dollar 200million. Bado wanafanyiwa figisu ni namna gani watalipwa hyo hela kwa makubaliano na bank binafsi
 
Yap kweli maana Kuna mfanyabiashara ambae namfaham amefirisika Kwa biashara hii ya rupia
 
Haya mambo yamemrudisha nyuma sana baba yangu tangu aanze kuyafuatilia amekuwa kama amedata hivi yuko radhi adanganywe kuna pasi ya mjerumani atoe pesa kuliko akupe hela ya ada.
Halafu always yanakufanya unakuwa na ndoto za ubilionea tu hata kama huna hata mia mfukoni
Natahadharisha kama unataka kuyafuatilia haya madubwana jiandae kufilisika kimawazo na kimaendeleo kwani kila saa unaona kesho tu utaipua mzigo na kuwa bilionea utaanza kudharau watu wanaojishughulisha na kazi halali hata ukiona nyumba nzuri unaanza kusema unadhani basi hiyo ni nyumba nzuri ngoja ile pasi ipatikane ina thamani ya trilion 17 uarabuni nitajenga zaidi ya hiyo.
For more info ni PM
 
Haya mambo yamemrudisha nyuma sana baba yangu tangu aanze kuyafuatilia amekuwa kama amedata hivi yuko radhi adanganywe kuna pasi ya mjerumani atoe pesa kuliko akupe hela ya ada.
Halafu always yanakufanya unakuwa na ndoto za ubilionea tu hata kama huna hata mia mfukoni
Natahadharisha kama unataka kuyafuatilia haya madubwana jiandae kufilisika kimawazo na kimaendeleo kwani kila saa unaona kesho tu utaipua mzigo na kuwa bilionea utaanza kudharau watu wanaojishughulisha na kazi halali hata ukiona nyumba nzuri unaanza kusema unadhani basi hiyo ni nyumba nzuri ngoja ile pasi ipatikane ina thamani ya trilion 17 uarabuni nitajenga zaidi ya hiyo.
For more info ni PM
Mkuu,naona kama unamsema Baba yangu maana anahangaika na hayo majitu mpaka anaudhi kila mtu kwenye familia yetu. Ni stori ndefu ila kwa kifupi ukipiga mahesabu ya haraka,amepiga kibiriti zaidi ya kama milioni 200 na madeni juu. Akikupigia simu na kuanza na neno kijana wangu,ujue anataka kukuomba hela kwa ajili ya hayo mambo.
Ana elimu lakini nashindwa kuelewa kwanini hajielewi,ni kama yuko addicted na ile gambling hope ya kuupakua utajiri wa ghafla wa matrilioni kiasi kwamba haoni thamani ya milioni 30 aliyonayo mkononi kiasi kwamba yuko tayari kuitupa kwenye mipango ya Rupia, Mercury au treasures za kufikirika kuliko kuiwekeza kwenye kitu cha msingi. Wakati mwingine Natamani nijaze kifurushi kwenye simu, nimtukaneee weee ili akili yangu itulie,sema ni mzazi na naona nitamuumiza sana maana naona alupofikia ni kama amekata tamaa sana na namna pekee aliyoona ni faraja kwake, ni kuishi kwa tumaini la kutajirika kupitia hayo mambo.
Inakera sana kwa kweli.
 
Mpaka muda huu hapa mkoani kwetu kuna jamaa wanachimba kwa kutumia gleda wakifuatilia mali za kale za Wajerumani.
Leo wiki ya tatu na inasemekana kuna mzigo wa dhahabu wa kg 1000 gleda linaunguruma masaa 24
 
Haya mambo yamemrudisha nyuma sana baba yangu tangu aanze kuyafuatilia amekuwa kama amedata hivi yuko radhi adanganywe kuna pasi ya mjerumani atoe pesa kuliko akupe hela ya ada.
Halafu always yanakufanya unakuwa na ndoto za ubilionea tu hata kama huna hata mia mfukoni
Natahadharisha kama unataka kuyafuatilia haya madubwana jiandae kufilisika kimawazo na kimaendeleo kwani kila saa unaona kesho tu utaipua mzigo na kuwa bilionea utaanza kudharau watu wanaojishughulisha na kazi halali hata ukiona nyumba nzuri unaanza kusema unadhani basi hiyo ni nyumba nzuri ngoja ile pasi ipatikane ina thamani ya trilion 17 uarabuni nitajenga zaidi ya hiyo.
For more info ni PM
Mkuu tuelimishe kilichojiri kwako
Nasisitiza tena:ACHANA NA HAYO MAMBO YATAWAPOTEZEA MUDA WENU
Mimi ni mhanga wa hayo majitu sina hamu nayo yametulostisha sana ila nendeni mtanikuta hapa jf na kukiri baada ya kuona ni mapicha picha tu
 
Hizi Imani ni tatizo sana familia moja ilishawai kukaa na bombs kwa muda mrefu wakinzani ni mali
 
Hi biashara ya Mali za mjerumani,Kauai ya bundi,mercury etc zote ni usanii tu.
Ni style tu ya kuwapiga watu.....jiulize tu kwanini huyo kwenye Mali ya kijerumani asiende kuiuza apate hayyo mabilion lakini mpaka amuzie mtu mwingine.
Alafu mifano Yao mikubwa watakuambia oh baresa kawa bilionea kwa sababu ya mecury.
Mara nyingi wanao pigwa ni wazee walyostaafu
Na wale wenye tamaa,
Siku zote wajinga hawaishiii Labda bahari ikauke.......
 
Utapeli mtupu ukitaka kufiisika fata hayo mambo utauza hadi mkeo . Ninashuda nyingi tu za wahanga wa hadhina ya mjeruman
 
no jokes,wewe tu ni pm au njoo kwa hewa if u real man....
Tamaa ilimponza fisi. We jitie kidume tu uende ukakutane na mauza mauza ambayo hata ukitoka hai usitamani kuishi tena. Fanya kazi kijana, usangoma feki kwenye mali za mazingara utakuondoa duniani. Unafikiri toka hizo zama hakuna wataalam wa kweli lakini mbona wamechemka.
 
VP rupia na baadhi ya kufuli za na shilling za zaman nazo zinadili?
Baba alipofariki nilikuta limkebe kubwa amehifadhi mazaga hayo
Baada ya msiba kuisha nikaona vijana wanakuja kuulizia
 
Ndugu zangu naomba niseme Kitu Hapa kuhusu Hizi Mali kale... Kiukweli kabisa hizi Mali Zipo nying tu na Wapo waliofanikiwa na Weng Wao ni wale WENYE uwezo kifedha Sababu wana nyenzo za kufanyia Kazi sasa Mimi na Wewe ambao tunategemea mishahara au kulima au vibiashara vyetu vidogo vidogo Ndio tunaopata tabu zaid n usipokuwa makini unaweza ukajikuta ni ombaomba Kwa nduguzo na marafiki kila siku...KUNA WATU AMBAO HAWANA NIA NJEMA KABISA NA HAWA NDO WAPO WENGI SANA NA NDIO WANAOTIA WATU UMASKINI ZAID WALIVYOSASA HAO KAZI YAO NI KUKUPOTEZEA MUDA NA GHARAMA TU..KUNA AMBAO MALI WANAZO KWELI NA AMBAO NI WASANII NA MTAONGEA VIZUR KWA SIMU UNAPOELEKEA KUMFUATA HUKO VIJIJIN NDIPO VIOJA VINAPOTOKEA ANAKUONYESHA MZIGO NA UNATHIBITISHA UNAKUTA UKO SAWA SASA KWA KUJUA KUWA USHAINGIA KING ANAANZA KUDAI PESA KWA NJIA ANAZOZIJUA WW KAMA NI MGUMU WA KUTOA PESA BASI KAZI ITAISHIA HAPO NA KAMA HUJUI KITACHOENDELEA BASI UTAPOTEZA PESA ZAKO NA HAKUNA UTACHOAMBULIA HATA KAMA MTASAFIRI BASI NJIAN UTAACHWA
 
Hvyo umakini ni MUHIMU Hivi kama mtu anania kweli ya kufanya Kazi na anauhakika na Kitu chake unamwambia Aje sokoni na mtamgahramia kila Kitu afikapo Hadi pale mnapomaliza Kazi anashindwa nini kuja sokon.. Zaid atakupa Sababu nyiiingi zisizo na msingi na Wakat tunajua Fika mashart ya Mali hizi kale za kijeruman... Wengine watataka uwatumie nauli..TUMA sasa uone kama mtajuana tena...watu WENYE hii mizigo kama hawez kushindana au kuidhibit nguvu za Mali aliyonayo basi HAKUNA kitachowezekan Sababu Hivi vitu vinamazindiko makubwa na mmiliki anatakiwa Ajue ni Kwa namna gani anakidhibit Kitu chake ndipo atafanikiwa kimaisha
 
Sasa basi Mimi ni mkazi WA dar es salaam... NAKUHAKIKISHIA Wewe uliyemakini na unajua kweli unamali za kijeruman aidha Wewe unamiliki au ndugu yako rafiki yako au kuna mtu unaemjua anamiliki Iwe ni FUFUMARK, MERCURY YAN MAJI MEKUNDU AU NJANO AU MEUSI, KOROFINDO, RUPIA YA SIMBA WAWILI, KUFULI , JIKO, CHEMLI, RUPIA YA KITUMBUA, PASI, DINALI, SHILLING MOJA YA MWAKA 1978 NA 1979 , MAJI YA KIZA, CHOMBO CHOCHOTE CHA KIJERUMAN NEMBO NA MAJARIBIO YAKE YAFAULU BASI tajiri Anaechukua hvyo vitu Yupo Hapa dar es salaam ni WA uhakika na anavibali vyote na utapewa sadaka au Zawad yako bila matatizo yeyote(kumbuka hii ni sadaka na si biashara hivi vitu Vina majin na ni vya kifalme hvyo hatutumii neno biashara au kuuza) tuwasiliane Kwa namba 0716637717 au 0769767771 naomba uwe Tayar kuja dar na si vinginevyo wasumbufu na nmatapeli najua mnaisoma hii tafadhali kaeni mbali.. Msituharibie watu tuliomakin na tunaojua nnn tunafanya
 
Back
Top Bottom